Ni 'hajatelekeza' siyo 'hajatekeleza'Ushasema anaomba ukimbizi marekani, means hajatekeleza familia yake bali anafata sheria za maombi ya ukimbizi. Huwezi kusafiri kwenda nchi unayoikimbia, Kupata gc kupitia ukimbizi unaeza subiri hadi miaka 7
Ukimbizi...greencard vimeingiaje na kulelewa wewe kuna kuhusu nini? Why wabongo mna akili za hovyo namna hii?Wimbo wa Roma ni Mzuri, na umeongea mambo yenye ukweli, ila mambo mengine ameyasema hakupaswa kuyasema. Katika wimbo wake amesema January kugongeana Sigara, sawa sote tunajua January ni Chain Smoker, lakini hajawahi kuvuta Sigara katika hadhara yoyote Wala kumbugudhi mtu, kitendo Cha Roma kuingilia uhuru wa mtu Mimi naona kavunja Sheria.
Roma ambaye anaishi Marekani kama mkimbizi, huku akipigania kupata green card Ili apare uraia na asirudi huku , amekuwa ni mtu wa kuropoka, Roma huyu ametelekeza mke wake na amewakabidhi Wana nzengo , huku yeye na me. Beneficial wakihangaika kutafuta uraia wa Marekani Kwa udi na uvumba.
Namuasa Roma aje , na awe na familia yake, tumechoka kumuhudumia mke wake
Kipara anavuta sonyo??ana
Anapenda sana bangi yule bwana mdogoo!!Kipara anavuta sonyo??
Wewee .Anapenda sana bangi yule bwana mdogoo!!
Kwani kupenda bangi ni dhambi?Wewee .
Naona Clueless14 unatoa cluesUshasema anaomba ukimbizi marekani, means hajatekeleza familia yake bali anafata sheria za maombi ya ukimbizi. Huwezi kusafiri kwenda nchi unayoikimbia, Kupata gc kupitia ukimbizi unaeza subiri hadi miaka 7
Hapana mkuu hiyo ndio yenyewe.Kwani kupenda bangi ni dhambi?
We ndio umenifumbua macho kipara anavuta fegi nilikuwa sijui, Roma msanii anafanya Sanaa kufikisha ujumbe na kuburudisha jamii, wasikilizaji ndio mnaokuja na tafsiri zenu kama Kipanya akichora.Wimbo wa Roma ni Mzuri, na umeongea mambo yenye ukweli, ila mambo mengine ameyasema hakupaswa kuyasema. Katika wimbo wake amesema January kugongeana Sigara, sawa sote tunajua January ni Chain Smoker, lakini hajawahi kuvuta Sigara katika hadhara yoyote Wala kumbugudhi mtu, kitendo Cha Roma kuingilia uhuru wa mtu Mimi naona kavunja Sheria.
Roma ambaye anaishi Marekani kama mkimbizi, huku akipigania kupata green card Ili apare uraia na asirudi huku , amekuwa ni mtu wa kuropoka, Roma huyu ametelekeza mke wake na amewakabidhi Wana nzengo , huku yeye na me. Beneficial wakihangaika kutafuta uraia wa Marekani Kwa udi na uvumba.
Namuasa Roma aje , na awe na familia yake, tumechoka kumuhudumia mke wake
Wachache sana watakuelewa mkuuKipara anavuta sonyo??
Ukimchunhuza sana utaelewa maana yake na pia sigara anayoiongeleaWimbo wa Roma ni Mzuri, na umeongea mambo yenye ukweli, ila mambo mengine ameyasema hakupaswa kuyasema. Katika wimbo wake amesema January kugongeana Sigara, sawa sote tunajua January ni Chain Smoker, lakini hajawahi kuvuta Sigara katika hadhara yoyote Wala kumbugudhi mtu, kitendo Cha Roma kuingilia uhuru wa mtu Mimi naona kavunja Sheria.
Roma ambaye anaishi Marekani kama mkimbizi, huku akipigania kupata green card Ili apare uraia na asirudi huku , amekuwa ni mtu wa kuropoka, Roma huyu ametelekeza mke wake na amewakabidhi Wana nzengo , huku yeye na me. Beneficial wakihangaika kutafuta uraia wa Marekani Kwa udi na uvumba.
Namuasa Roma aje , na awe na familia yake, tumechoka kumuhudumia mke wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wenye historia ya kubbakkwa huwa wanafyatuka akili..
Una matatizo ya akili ndugu yangu.Wimbo wa Roma ni Mzuri, na umeongea mambo yenye ukweli, ila mambo mengine ameyasema hakupaswa kuyasema. Katika wimbo wake amesema January kugongeana Sigara, sawa sote tunajua January ni Chain Smoker, lakini hajawahi kuvuta Sigara katika hadhara yoyote Wala kumbugudhi mtu, kitendo Cha Roma kuingilia uhuru wa mtu Mimi naona kavunja Sheria.
Roma ambaye anaishi Marekani kama mkimbizi, huku akipigania kupata green card Ili apare uraia na asirudi huku , amekuwa ni mtu wa kuropoka, Roma huyu ametelekeza mke wake na amewakabidhi Wana nzengo , huku yeye na me. Beneficial wakihangaika kutafuta uraia wa Marekani Kwa udi na uvumba.
Namuasa Roma aje , na awe na familia yake, tumechoka kumuhudumia mke wake