ZE VANGUARD
Senior Member
- Oct 15, 2017
- 163
- 191
Kuna mtu ni victim wa bamia? Na TCRA watawashtaki kwa kosa la kuonyesha bamia ndogondogo?What is happenings is cyber bullying. Namshauri victim akashitaki
Mkuu we acha tu. Saivi kila mwenye kitambi wanajua ana kibamiaNimecheka kwenye daladala mpaka naonekana nimepagawa Ndugu hiyo kweli Ndugu nilijua peke yangu hahahahahaja
Mwenye tatizo in aliejipiga picha na kuisambaza[emoji125] [emoji125] [emoji125]Kitendo cha Shilawadu jana kufanya neno "kibamia" kieleweke hata kwa watoto wa primary ni cha kulaaniwa.
Leo nimeshuhudia vitoto vikielezana maana ya kibamia baada ya mama muuza mbogamboga kupita mtaani.
Kiukweli neno kibamia ilikua ni tafsida ambayo haikupata kuwekwa hadharani kila mtu ajue.
Sasa hivi vitoto tena vya kike vilikua vinacheka kuona vibamia vidogo, ukubwani mwao watataka mtu mwenye maumbile gani!?
Huu si mmomonyoko wa maadili ambao unachangia na vyombo vya habari, bila kujua.
Unawaruhusu wanao kuangalia shilawadu ....una matatizonaungana na wewe! vipindi vingi sasa hivi vya TV vimeanza kukosa maadili, kama mamlaka husika haitochukua hatua zitasababisha mmomonyoko wa maadili kwa kiasi kikubwa! jana nilijiuliza maswali mengi sana
1. Je kama mtu unaangalia kile kipindi na familia yako halafu mtoto mdogo akauliza kibamia ni nini? au kwanini wamevaa bamia?
2. Pili najiuliza tu je Kuwa na maumbile madogo ni hali ambayo mtu anajitakia au ni sababu za kimaumbile tu? kimtizamo wangu hii hali inatokana na maumbile ya mtu, na haipaswi kuchukuliwa kimzaa hivi! kama ni ugonjwa basi ni ugonjwa kama mwingine hauhitaji fufanyiwa mzaha kiasi hiki!
3. je hivi vituo vya luninga wanafanya uhakiki wa vipindi kabla havijarushwa hewani?
Tuanze naye kwa kuruhusu kurekodiwa na kuwekwa mitandaoniWhat is happenings is cyber bullying. Namshauri victim akashitaki
Acha stress wewe, kipindi kina kosa gani. Ni cha gossip. Yale yanayotrend mjn ndo yanayopatikana. Unaona hakiinufaishi jamii tengeneza chako kitakachoinufaisha jamii.Hivi kwa maisha tuliyonayo sisi Watanzania mnategemea hao wanahabari uchwara wafanye kitu cha maana kwa jamii yetu?
Kwanza kile kitendo tu cha ofisi ya serikali kukubali kipindi kama Shilawadu kiwepo ni kosa kubwa sana. Kitendo cha wamiliki wa kituo kukubali kipindi kile kirushwe na chombo chao ni kosa kubwa sana.
Leo tunazungumza maadili gani wakati kuwepo kwa kipindi tu tumevunja maadili?
Kwann akubali kurekodiwa, wampeleke jela kwanza yeye.Mitandao ya kijamii hii na baadhi ya vyombo vya habari visivyokuwa na miiko na maadili vitasababisha baadhi ya wenzetu ambao hawatakuwa na uvumilivu wa kutosha kuishia kuwapoteza.
Tunaweza kuchukulia poa bullying hii lakini ukivaa viatu vya mhusika lazima kichwa kipoteze .
Shida iko wapi? Wamevaa kudediketi nyimbo ya Roma na staminaMamalaka husika isipowalima fine nitashangaa
ukweli ni kwamba huo ni aina ya unyanyapaa
kama vile kumnyanyapalia mlemavu wa ngozi
Tcra unawaita wa nn?? Kwani wamemtaja?Si tu hvo,,mimi kilichoniboa,japo sijaangalia but wame mdhalilisha le mutuz,kuanzia kweny page yao mpka huko kwny tv,media kama ile hawakupaswa kushabikia udhalilishaji ule,,japo le baharia ameyataka mwenyewe ila ubinadamu lazima ungetumika,,,TCRA wapo wapi ?
Mkuu,,,umepitia page yao ya insta hao shilawadu ?? ,wameweka na picha ya le baharia kabisa na kuandika kuhusu kibamiaa,,na kwa picha nilioona ya kipindi chao huko insta wamevaa bamia kwann tcra wasi connect dots ? ,,,tayari kumuongelea insta kuhusu bamia ni kosaTcra unawaita wa nn?? Kwani wamemtaja?
Huwa nashangaa na mjengo wao mkubwaaaaaaaaa!!! Dah pesa zetu zinaliwa vizuri mnooo......TCRA wameacha kazi yao ya msingi sasa wanajigeuza na kuwa TRA. Very bad