Kitendo cha Shilawadu ni cha kulaaniwa

Kitendo cha Shilawadu ni cha kulaaniwa

Hao wana ugomvi wao tu nyuma ya pazia rudi nyuma kipindi rc kavamia icho kipindi lemutuz alimtetea sana sasa wanachokifanya kma walikuw wanamsubir ateleze.
But kusema kipindi kinaharibu maadili ya watoto huku kipind kinaanza cjui saa tano hao watot watakuw hawana tu uangalizi mzur lkn vip kuhusu ile nyimbo ya kina roma au kioind ndo kimechochea sana
 
Kitendo cha Shilawadu jana kufanya neno "kibamia" kieleweke hata kwa watoto wa primary ni cha kulaaniwa.

Leo nimeshuhudia vitoto vikielezana maana ya kibamia baada ya mama muuza mbogamboga kupita mtaani.

Kiukweli neno kibamia ilikua ni tafsida ambayo haikupata kuwekwa hadharani kila mtu ajue.

Sasa hivi vitoto tena vya kike vilikua vinacheka kuona vibamia vidogo, ukubwani mwao watataka mtu mwenye maumbile gani!?

Huu si mmomonyoko wa maadili ambao unachangia na vyombo vya habari, bila kujua.
Mwenye tatizo in aliejipiga picha na kuisambaza[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Le super star ,king of all social media,Tshirt lake linatosha kufunikia passo
 
naungana na wewe! vipindi vingi sasa hivi vya TV vimeanza kukosa maadili, kama mamlaka husika haitochukua hatua zitasababisha mmomonyoko wa maadili kwa kiasi kikubwa! jana nilijiuliza maswali mengi sana

1. Je kama mtu unaangalia kile kipindi na familia yako halafu mtoto mdogo akauliza kibamia ni nini? au kwanini wamevaa bamia?

2. Pili najiuliza tu je Kuwa na maumbile madogo ni hali ambayo mtu anajitakia au ni sababu za kimaumbile tu? kimtizamo wangu hii hali inatokana na maumbile ya mtu, na haipaswi kuchukuliwa kimzaa hivi! kama ni ugonjwa basi ni ugonjwa kama mwingine hauhitaji fufanyiwa mzaha kiasi hiki!

3. je hivi vituo vya luninga wanafanya uhakiki wa vipindi kabla havijarushwa hewani?
Unawaruhusu wanao kuangalia shilawadu ....una matatizo
 
Hivi kwa maisha tuliyonayo sisi Watanzania mnategemea hao wanahabari uchwara wafanye kitu cha maana kwa jamii yetu?
Kwanza kile kitendo tu cha ofisi ya serikali kukubali kipindi kama Shilawadu kiwepo ni kosa kubwa sana. Kitendo cha wamiliki wa kituo kukubali kipindi kile kirushwe na chombo chao ni kosa kubwa sana.
Leo tunazungumza maadili gani wakati kuwepo kwa kipindi tu tumevunja maadili?
Acha stress wewe, kipindi kina kosa gani. Ni cha gossip. Yale yanayotrend mjn ndo yanayopatikana. Unaona hakiinufaishi jamii tengeneza chako kitakachoinufaisha jamii.
 
Mitandao ya kijamii hii na baadhi ya vyombo vya habari visivyokuwa na miiko na maadili vitasababisha baadhi ya wenzetu ambao hawatakuwa na uvumilivu wa kutosha kuishia kuwapoteza.

Tunaweza kuchukulia poa bullying hii lakini ukivaa viatu vya mhusika lazima kichwa kipoteze .
Kwann akubali kurekodiwa, wampeleke jela kwanza yeye.
 
Si tu hvo,,mimi kilichoniboa,japo sijaangalia but wame mdhalilisha le mutuz,kuanzia kweny page yao mpka huko kwny tv,media kama ile hawakupaswa kushabikia udhalilishaji ule,,japo le baharia ameyataka mwenyewe ila ubinadamu lazima ungetumika,,,TCRA wapo wapi ?
Tcra unawaita wa nn?? Kwani wamemtaja?
 
Back
Top Bottom