Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kukubalika Kanda ya Ziwa kwa kiwango hiki inaashiria nini?

Mwambie Tundu kwenye mkutano ujao aje na cheti cha darasa la saba.. Najua hana.. Labda aende kufoji.
 
Kinamaanisha ajiandae kupokea matokeo ya WAJUMBE kama walivyopokea wenzake kina PAULI
Maendeleo hayana vyama[emoji2][emoji2]
 
Thubutu nenda kagera ukasikie habari za Tozo.
Kama imezidi tani moja lazima ukamuliwe tozo kwa kila uzito unaozidi.. Kama una mzigo wa tani kumi, inabidi ulipie tozo tani tisa huku ile tani moja ikiwa ni exempted! Kinyume na hapo, watoza tozo hawafuati instruction.
 
Anakubalika kwa percentage ngap?
Fuatilia statistics zilizotolewa na IPSOS juu ya wingi wa watu waliohudhuria kwenye vikao vya Kampeni vya CDM na CCM kanda ya ziwa hasa Mwanza.

Ni asilimia 90% kwa CCM na 10% kwa CDM. Ww huko kukubalika kwako umepima kwa metric gani?
Kama hauna data hauna haki ya kuzungumza.!
 
Hizi ni picha za 1620 by JPM
Ni kuweweseka. Unajua Magufuli alikuwa hajaingia kwenye siasa za hoja kulikuwa hakuna mtu yeyote aliyethubutu kumkosoa. Akajidanganya na kujiona anapendeka sana. Sasa ajabu moja ni kuwa hata kwenye ''ngome'' yake ameona wanampuuza.

Je sehemu nyingine itakuwaje? Uchaguzi huu unaweza kumwangusha vibaya sana... labda afanye mkakati kabambe na wa siri wa kuiba. Hali ilivyo sasa akajifinya kuiba kinguvunguvu anaweza kuamsha hasira kali nchi nzima na yeye akaishia pabaya mno. Mbaya zaidi ndani ya CCM wengi wanachekea kwa pembeni.
 
Ndiyo mnavyojipa matumaini na kumdanganya bwana mkubwa wenu siyo. Anyway hata Sadam dakika za mwisho kuna mtu alikuwa anaitwa comical Ali alikuwa anampa moyo.
 
Huna lolote
 
Sitaki kukuharibia siku, kwa taarifa tuu, Kuna association moja inafanya kazi overdrive. Mpaka 28th October, 2020 usishangae kwa matokeo yeyote.
Kwa mujibu wa Lissu , kutangaza matokeo yoyote kinyume na kura halali huo ndio utakuwa mwisho wa Tanzania , madikteta wote walioondolewa , kupinduliwa ama kukamatwa walikuwa na wapambe njaa kama wewe
 
Nakulipa mshahara na gari na nyumba alafu umtangaze mpinzani ?
 
Umesema kweli kabisa. Niko na jamaa moja hapa kaja kunifanyia kazi toka Mbeya anasema huko ni JPM tu hakuna cha Lisu.

Ukweli no kwamba Lisu hapasui hapo EU juzi wanetoa matokeo ya utafiti wait na hiyo ndio habari ya mjini.

Bahati nzuri zile nchi zote viherehere hawataruhusiwa kuja kuangalia uchaguzi wakiwemo shieika la UN wenyewe.

Naipongeza sana serikali ya JPM kukataa pesa za UNDP, hivyo hawataleta kiherehere
 
hiyo hoja tulishafunga ,tukihoji PHD feki za kukamua korosho msituteke

PhD zinajionesha kwa vitendo.. Sio lazima ubebe makaratasi.

Wewe si unaona mshua ndani ya miaka minne keshaifikisha nchi kwenye uchumi wa kati. If Magufuli was not comming from Africa, he must have won Nobel Peace price on Economics by now!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…