Kwa sasa hivi adui mkubwa kwa mujibu wa lumumba ni mh LissuWewe ulitakaje?
Asisalimie watu?
Acheni wivu.
Lissu anapendwa na watu.
Jana Membe na Maalim Seif wameisimamisha Zanzibar na mji nzima ulikuwa barabara kuwasalimia, hukuja hapa kusema hayo.
Akili kisodaNa wewe kale bure kwa shemeji yako Halima Mdee mura!
Kwani naye alinunua jogoo?Hujajibu swali!
Alafu bado wanapatwa na mchechetoCCM hakujatulia kabisa sababu ya Lisu. Mgombea wao anafanya kampeni tangu mwaka 2016
Sasa asiposimama akawasalimia na kuomba wamdhamini atapataje wajumbe Bwashee?Alikuwa hajachukua fomu kwa Jaji Kaijage!
Alikuwa anagawa na rushwa? Waliosukumizwa hawajaumia? Jeshi la polisi linasemaje? Jo unazidi kuwa mjinga kadiri siku zinavyosogeaMsafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.
Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.
Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?
2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
Mbona Mtu yule aki simama barabarani husemi?Msafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.
Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.
Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?
2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
Anatafuta wadhamini atazunguka nchi nzimaMsafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.
Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.
Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?
2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
Uchaguzi 2020 - Singida, Iramba: Mamia ya wananchi wa Shelui, wamemzuia barabarani Mgombea wa Chadema Tundu Lissu ili awasalimie
Mbona hukuuliza kuhusu mnunuzi wa mahindi?Bwashee kuuliza si ujinga!
Tumeambiwa wagombea wenye sifa pekee ndio watateuliwa.
Mbona magu alisimama akala hadi mahindi hilo nyie hamlioni?Msafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.
Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.
Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?
2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
Uchaguzi 2020 - Singida, Iramba: Mamia ya wananchi wa Shelui, wamemzuia barabarani Mgombea wa Chadema Tundu Lissu ili awasalimie
Idiot on fleek.Msafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.
Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.
Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?
2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
Uchaguzi 2020 - Singida, Iramba: Mamia ya wananchi wa Shelui, wamemzuia barabarani Mgombea wa Chadema Tundu Lissu ili awasalimie
Uko kimbegembege zaidi!Idiot on fleek.
Kama hii ni kanuni basi babako atakuwa wa kwanza kukatwa!! Tena anazo kesi mbili hii na ile ya rushwa akiwa tayari ni mgombea wa CCM alipokea na kutoa rushwa!!...uzuri clip zipo!!Msafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.
Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.
Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?
2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
Uchaguzi 2020 - Singida, Iramba: Mamia ya wananchi wa Shelui, wamemzuia barabarani Mgombea wa Chadema Tundu Lissu ili awasalimie
😀😀kuna mgombea mmoja hivi akiwa huko mabarabarani aligawa 5M, akakata laki 1 na akatoa ahadi ya 100M. hivi ni nani huyo tena?
kama umesahau basi acha tu... tutamuuliza Lissu maana jamaa kwa kuweka rikodi hajambo!
Bwashee hilo ndio jibu?!Kama hii ni kanuni basi babako atakuwa wa kwanza kukatwa!! Tena anazo kesi mbili hii na ile ya rushwa akiwa tayari ni mgombea wa CCM alipokea na kutoa rushwa!!...uzuri clip zipo!!
Hawa ndio mnao watakaMsafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.
Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.
Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?
2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
Uchaguzi 2020 - Singida, Iramba: Mamia ya wananchi wa Shelui, wamemzuia barabarani Mgombea wa Chadema Tundu Lissu ili awasalimie
Kwani amepewa kuku?Msafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.
Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.
Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?
2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
Uchaguzi 2020 - Singida, Iramba: Mamia ya wananchi wa Shelui, wamemzuia barabarani Mgombea wa Chadema Tundu Lissu ili awasalimie
Taifa lilikuwa kinakwenda siko..!! Hii ni hatari mno kwa ustawi wa taifa letu. Lissu okoa taifa hili.Hawa ndio mnao wataka
View attachment 1534236
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Mtanyooka mwaka huu, mtakula mahindi ya kuchoma dumila na bado you will Wet your pants profuselyMsafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.
Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.
Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?
2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
Uchaguzi 2020 - Singida, Iramba: Mamia ya wananchi wa Shelui, wamemzuia barabarani Mgombea wa Chadema Tundu Lissu ili awasalimie