Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kusimama barabarani kusalimia wananchi akiwa njiani kwenda Shinyanga siyo kampeni za mapema?

Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kusimama barabarani kusalimia wananchi akiwa njiani kwenda Shinyanga siyo kampeni za mapema?

Wewe ulitakaje?
Asisalimie watu?
Acheni wivu.
Lissu anapendwa na watu.

Jana Membe na Maalim Seif wameisimamisha Zanzibar na mji nzima ulikuwa barabara kuwasalimia, hukuja hapa kusema hayo.
Kwa sasa hivi adui mkubwa kwa mujibu wa lumumba ni mh Lissu
 
Msafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.

Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.

Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?

2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
Alikuwa anagawa na rushwa? Waliosukumizwa hawajaumia? Jeshi la polisi linasemaje? Jo unazidi kuwa mjinga kadiri siku zinavyosogea

Jr[emoji769]
 
Msafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.

Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.

Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?

2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
Mbona Mtu yule aki simama barabarani husemi?
 
Msafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.

Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.

Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?

2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!

Uchaguzi 2020 - Singida, Iramba: Mamia ya wananchi wa Shelui, wamemzuia barabarani Mgombea wa Chadema Tundu Lissu ili awasalimie
Anatafuta wadhamini atazunguka nchi nzima
 
Msafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.

Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.

Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?

2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!

Uchaguzi 2020 - Singida, Iramba: Mamia ya wananchi wa Shelui, wamemzuia barabarani Mgombea wa Chadema Tundu Lissu ili awasalimie
Mbona magu alisimama akala hadi mahindi hilo nyie hamlioni?
 
Msafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.

Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.

Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?

2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!

Uchaguzi 2020 - Singida, Iramba: Mamia ya wananchi wa Shelui, wamemzuia barabarani Mgombea wa Chadema Tundu Lissu ili awasalimie
Idiot on fleek.
 
Msafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.

Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.

Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?

2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!

Uchaguzi 2020 - Singida, Iramba: Mamia ya wananchi wa Shelui, wamemzuia barabarani Mgombea wa Chadema Tundu Lissu ili awasalimie
Kama hii ni kanuni basi babako atakuwa wa kwanza kukatwa!! Tena anazo kesi mbili hii na ile ya rushwa akiwa tayari ni mgombea wa CCM alipokea na kutoa rushwa!!...uzuri clip zipo!!
 
kuna mgombea mmoja hivi akiwa huko mabarabarani aligawa 5M, akakata laki 1 na akatoa ahadi ya 100M. hivi ni nani huyo tena?

kama umesahau basi acha tu... tutamuuliza Lissu maana jamaa kwa kuweka rikodi hajambo!
😀😀
 
Kama hii ni kanuni basi babako atakuwa wa kwanza kukatwa!! Tena anazo kesi mbili hii na ile ya rushwa akiwa tayari ni mgombea wa CCM alipokea na kutoa rushwa!!...uzuri clip zipo!!
Bwashee hilo ndio jibu?!
 
Msafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.

Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.

Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?

2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!

Uchaguzi 2020 - Singida, Iramba: Mamia ya wananchi wa Shelui, wamemzuia barabarani Mgombea wa Chadema Tundu Lissu ili awasalimie
Hawa ndio mnao wataka


Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
 
Msafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.

Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.

Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?

2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!

Uchaguzi 2020 - Singida, Iramba: Mamia ya wananchi wa Shelui, wamemzuia barabarani Mgombea wa Chadema Tundu Lissu ili awasalimie
Kwani amepewa kuku?
 
Msafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.

Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.

Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?

2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!

Uchaguzi 2020 - Singida, Iramba: Mamia ya wananchi wa Shelui, wamemzuia barabarani Mgombea wa Chadema Tundu Lissu ili awasalimie
Mtanyooka mwaka huu, mtakula mahindi ya kuchoma dumila na bado you will Wet your pants profusely
 
Back
Top Bottom