Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kusimama barabarani kusalimia wananchi akiwa njiani kwenda Shinyanga siyo kampeni za mapema?

Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kusimama barabarani kusalimia wananchi akiwa njiani kwenda Shinyanga siyo kampeni za mapema?

Msafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.

Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.

Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?

2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
afadhali umetujuza tulikuwa hata hatujui kama ameshafika huko maeneo,endelea kufuatilia msafara na hotuba za Lisu, alipo uwepo
 
bwashee una mabidii ya kuandika na huchoki

nn siri ya mafanikio yako...tofauti na buku7 ya thread
 
Umeambiwa anatembea kusaka wadhamini, sasa wadhamini hao ni miti au ni binadamu? Wadhamini ni watu kwanini asisalimiane nao? Pia kusema wamesukumwa kwenda kumsalimia huo ni upotoshaji uliopitiliza! Mnapaswa kutambua kuwa Mwenyekiti wenu alishalikoroga tangu alipozui wapinzani kufanya siasa , sasa matokeo yake wananchi sasa hivi wana hamu na shauku kubwa sana ya kuwaona na kusikiliza sera madhubuti za wapinzani, hiyo ndio siri umati mkubwa utakaoendelea kujitokeza hata wakati wa kampeni!...Subirini hiyo ni trela muziki wenyewe bado!
 
Msafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.

Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.

Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?

2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
Hivi kweli lisu ana uwezo wa kusukumiza watu kwenda barabarani? Au wamejisukumiza wenyewe tu?!!!
 
Na huyo anko wenu anaposimama kujipatia jogoo wa mlalahoi hii sio kampeni?
Msafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.

Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.

Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?

2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
 
Aliyewasukumia barabarani ni nani ?
Ni Kule zanzibar nadhani ndipo watumishi wa umma walisukumizwa kumpokea rais mteule na walitishwa kwenda kusainia daftari la mahudhurio barabarani wakivaa nguo za kijani au njano.
Vichwa vyenu viwe na kumbukumbu
 
Mimi sio mshabiki wa TL kabisaaa ila kama watu wanajitokeza awasalimie tu, hata kama wanampa hela ,pole ya risasi huyu ni MTz wenzetu.
Nampendea ujasiri wa kusema hata kama hayana maana , akijua mazuri atayasema pia.

Kura kwa JPM. TL labda awe tu jaji mahakama zetu.

Hata TL ahamasishe kura apewe jpm. Ni hayo tu
jpm labda kura za mezani kutoka kwa Kaijage semistocles, wananchi wote hadi wana ccm watampigia kura Lisu kimya kimya ISIPOKUWA WEWE
 
Msafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.

Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.

Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?

2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
Mmezidi sasa
 
Back
Top Bottom