mi nilikuwepo uwanjani siku ile,,kwa kuskia tu, mpenda maendeleo yoyote wa soka,ambaye hakuwepo uwanjani hata kama mpenzi wa yanga,lazima asingefurahishwa na kitendo cha kumpiga refa.lakini nakuhakkishia ndugu yangu mazingira ya kadi ya niyonzima na uchezeshaji wa refa tangu mwanzo,huwezi kushangaa na kulaum.wachezaji kumpiga refa.tangu nianze kufatilia mpira ulaya na tz, akuna mechi iliyoniouma kama hii,nilumia sana kalibu nitoke chozi,mpaka sasa bado sija recover vizuri :A S 13:kwa jinsi ulivyoeleza unaonyesha ulikua uwanjani,na yote uliyosema ni ukweli %
Mkuu pole sana kama hujarecover vizuri, ningekuwa najua unakoishi ningekuletea hata chungwa moja.mi nilikuwepo uwanjani siku ile,,kwa kuskia tu, mpenda maendeleo yoyote wa soka,ambaye hakuwepo uwanjani hata kama mpenzi wa yanga,lazima asingefurahishwa na kitendo cha kumpiga refa.lakini nakuhakkishia ndugu yangu mazingira ya kadi ya niyonzima na uchezeshaji wa refa tangu mwanzo,huwezi kushangaa na kulaum.wachezaji kumpiga refa.tangu nianze kufatilia mpira ulaya na tz, akuna mechi iliyoniouma kama hii,nilumia sana kalibu nitoke chozi,mpaka sasa bado sija recover vizuri :A S 13:
Kamanda uko...aise umepotea sana au kama kawaida yako ID kama 200...hahahah....tulindi kwenye topic....yanga mmechemka kitendo cha kumpiga refa hakikubaliki..poleni sanaIsrael Mujuni referee wa mechi ni jinga sana! Shabiki la Simba tangu kale! Yanga tutakata rufaaa TFF hovyo
Yap......Nipo Arumeru......Nawakilisha CCM kama kawa kama dawa.....Mtani uko Arumeru.....Mkuu mmeniker sana kwa kwa tabia yenu mbovu nana medhamilia kutua halibia soka...labda niwapeni uchauri ...mnaonaje timu yenu mkiibadilisha jina ikawa Yanga Boxing Club
Wewe tukana unavyojua lakini ukweli utabaki pale pale kuwa adhabu waliyopewa Yanga haitoshi....kama ni uhuni pelekeni kwa Manjiwe unaushahidi,au umeskia clouds aka tawi la simba.nani asiyejua jopo lawatangazaji wa michezo woote 11 kasoro,ibrahim mohamed pale clouds ni wanachama nawengine ni viongozi wa simba ?hii ni police case sio unaropoka .:shut-mouth:
yanga waliingia mkataba na primetime promotion na sio watangazaji wa wapumbav waclouds,wanao abuse kazi yao ya utangazaji.mwazoni nilijua kwamba shafi na wengnio smba,lakini sikuona ishu mbaya,nilichokigundua kibaya ni wao kuingiza hisia zao kwenye kazi yao,na niligundua hilo tangu siku ya mechi jioni yake,kwenye sports extra,siku ya jumamosi ambapo walokua wanatagaza alikua ibrahm masoud na geofray leah ndipo nilipoanza rasmi research yangu,kama uliangalia sports bar jana,umuoe shaffi alivokua anabishana na picha huku akiongea kwa jazba kama anataka kurusha ngumi kutokanana na maswli magum alokua anaulizwa na mtanagzji mwenzake ibrahim mohamed utaamini lbda ubishane na hisia zako,kwanini mliwakubalia wawe mapromota wenu siku ya zamalek..
Yap......Nipo Arumeru......Nawakilisha CCM kama kawa kama dawa.....
Suala la kubadilisha timu kuwa Klabu ya ngumi......Sidhani kama kuna haja ya kufanya hivyo maana Yanga(pamoja na Simba) tangu enzi na enzi tuna timu ya Ngumi.......Mpaka leo hii ipo...
Post yangu namba 103 ina jibu la nini mtazamo wangu kuhusiana na kitendo cha wachezaji kumpiga Muamuzi....
nashkuru asee kweli mashbk wanaumia kuliko players!Mkuu pole sana kama hujarecover vizuri, ningekuwa najua unakoishi ningekuletea hata chungwa moja.
Mechi za Simba na Yanga huwa hazitabiriki mtani.....KKumbuka kwa mechi za karibuni mmekuwa mkiongea hayo hayo ya sisi kuandamana lakini tunapoingia uwanjani jibu linapatikana........Tunashinda ama mnalazimisha sare.....Hivi tuna kutana lini....nina uhakika kama ingekuwa bado mechi mbili tukutane mngeandama.....hahahah
hapana hii tabia ya kurusha ngumi ni ya Yanga tu....yanga waliingia mkataba na primetime promotion na sio watangazaji wa wapumbav waclouds,wanao abuse kazi yao ya utangazaji.mwazoni nilijua kwamba shafi na wengnio smba,lakini sikuona ishu mbaya,nilichokigundua kibaya ni wao kuingiza hisia zao kwenye kazi yao,na niligundua hilo tangu siku ya mechi jioni yake,kwenye sports extra,siku ya jumamosi ambapo walokua wanatagaza alikua ibrahm masoud na geofray leah ndipo nilipoanza rasmi research yangu,kama uliangalia sports bar jana,umuoe shaffi alivokua anabishana na picha huku akiongea kwa jazba kama anataka kurusha ngumi kutokanana na maswli magum alokua anaulizwa na mtanagzji mwenzake ibrahim mohamed utaamini lbda ubishane na hisia zako,
Najua mnajifariji lakini kombe mmeshalikosa First eleven imesha vurugwa mtakosa wachezai karibu saba hivyo inategemea umakini wa kocha vinginevyo hata nafsi ya 3 mnaweza kuikosa....Mechi za Simba na Yanga huwa hazitabiriki mtani.....KKumbuka kwa mechi za karibuni mmekuwa mkiongea hayo hayo ya sisi kuandamana lakini tunapoingia uwanjani jibu linapatikana........Tunashinda ama mnalazimisha sare.....
Kumbuka Yanga ndio mabingwa wa Tanzania na Afrika Mashariki na Kati....
I see.......Naona jamaa ana frustration inabidi tumpe moyo ukizingatia na kule meru tume washika......
I see.....Nimekusoma kada wa Magamba kama vipi tutafutane basi ila usije na tindikali kama kawaida yenu....Hahahahaha
Kwa hiyo na nyinyi Simba mume wenu ni Mo Dewji na Dio Malinzi?........I see!!!Hakuna cha kupewa nafasi ya kujitete uhuni wao waupeleke kwa mme wao manji..............
Mechi za Simba na Yanga huwa hazitabiriki mtani.....KKumbuka kwa mechi za karibuni mmekuwa mkiongea hayo hayo ya sisi kuandamana lakini tunapoingia uwanjani jibu linapatikana........Tunashinda ama mnalazimisha sare.....
Kumbuka Yanga ndio mabingwa wa Tanzania na Afrika Mashariki na Kati....
Mtani.........Najua mnajifariji lakini kombe mmeshalikosa First eleven imesha vurugwa mtakosa wachezai karibu saba hivyo inategemea umakini wa kocha vinginevyo hata nafsi ya 3 mnaweza kuikosa....
Kwa hiyo na nyinyi Simba mume wenu ni Mo Dewji na Dio Malinzi?........I see!!!
WW hebu tupe japo picha tu,sio unaongea tu,tuassume kanavaro alpewa redcard kwa kosa la kutaka kumpiga refa na tuassume red alopata canavaro ni halali.na tunafahamadhab ya red ni kukosa mechi 3.je uhalai wa canavaro kufungiwa mechi6 unatoka wapi kama sio hujuma?sitaki kuzungumzi adhabu ya omega seme ambaye amefungiwa mechi6,wakati hata picha za clouds ziliomuonesha akifanya kazi ngumu yakuwatuliza wenzie wasifanyevurugu,Mkuu siyo mwasikatu kuna wachezaji 3 walio mtwa refa lakini nashangaa kafungiwa moja angalia picha zilizoko kwenye page ya pili...