Kitila Mkumbo: Tunapoendelea kuelimisha suala la maadili kwa vijana wetu tusije tukawaondolea haki yao ya kuwa watoto

Kitila Mkumbo: Tunapoendelea kuelimisha suala la maadili kwa vijana wetu tusije tukawaondolea haki yao ya kuwa watoto

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Waziri Kitila Mkumbo akiwa anahitimisha hoja yake, anakubaliana na wabunge wengine kuhusu umuhimu wa kuzingatia maadili kwa watoto lakini tunapoendelea kuwaelimisha vijana wetu kuhusu maadili tusije tukawaondolea haki yao ya kuwa watoto. Ni muhimu watoto wakabaki kuwa watoto kwasabu bila hivyo watakuja kufanya utoto wakiwa watu wazima

Akiongeza kuwa izingatiwe, utoto wa watoto wa sasa hauwezi kuwa sawa na enzi za kina Kitila walivyokuwa watoto, mazingira ya sasa ni tofauti, wakilazimisha watoto wa sasa kuwa kama wa azamani watakuwa wanawakosea.

Akisisitiza kuwa watoto wapewe wafundiswe maadili lakini waachwe kuwa watoto.


 
Waziri Kitila Mkumbo akiwa anahitimisha hoja yake, alitia mkazo umuhimu wa kuzingatia maadili wa watoto akisema, tunapoendelea kuwaelimisha vijana wetu kuhusu maadili tusije tukawaondolea haki yao ya kuwa watoto. Ni muhimu watoto wakabaki kuwa watoto kwasabu bila hivyo watakuja kufanya utoto wakiwa watu wazima

Akiongeza kuwa izingatiwe, utoto wa watoto wao hauwezi kuwa sawa na enzi za kina Kitila walivyokuwa watoto, mazingira ya sasa ni tofauti, wakilazimisha watoto wa sasa kuwa kama wa azamani watakuwa wanawakosea.
Na hao vijana wengi wanawatoto
 
Back
Top Bottom