Uchaguzi 2020 Kitila Mkumbo: Vyama vya Upinzani havijajipanga kisera na kiuongozi

Uchaguzi 2020 Kitila Mkumbo: Vyama vya Upinzani havijajipanga kisera na kiuongozi

Kitila mkumbo yuko sahihi, Tanzania bado hakuna wapinzani bali kuna wajasiriasiasa, kwa mfano tazama lisu hana hata haiba ya uongozi halafu ndio aongoze nchi, ndio maana tunasema mpinzani wa kweli atatokea ccm
 
Kitila mkumbo yuko sahihi, Tanzania bado hakuna wapinzani bali kuna wajasiriasiasa, kwa mfano tazama lisu hana hata haiba ya uongozi halafu ndio aongoze nchi, ndio maana tunasema mpinzani wa kweli atatokea ccm
Mkuu unataka kusema Jiwe yeye ana haiba ya uongozi?
Nakwambia ni bora nikuchague wewe na utopolo wako kuliko kumchagua Jiwe

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Prof. Kitila Mkumbo ambaye unaweza kumuita kuwa ni engeneer wa Chama kimojawapo cha upinzani hapa nchini (tukirejea sakata la waraka wa mabadiliko ndani ya Chadema) ameeleza kwa kujiamini kuwa bado vyama vya upinzani nchini havijajipanga KISERA NA KIUONGOZI hivyo Rais Magufuli anaenda kushinda tena 2020 kwa ushindi mkubwa.
yeye mwenyewe ubungo tia maji tia maji ....... yaonekana bado hawajui watanzania vzr huyu jamaa - amuulize bothi wake kinachomkuta haamini.....
 
Mkuu unataka kusema Jiwe yeye ana haiba ya uongozi?
Nakwambia ni bora nikuchague wewe na utopolo wako kuliko kumchagua Jiwe

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Ana haiba na ndio maana kawa mbunge karibu miaka 20 kawa waziri zaidi ya miaka 15 na anamaliza miaka yake 10 ya uraisi, utamfananisha na huyo takataka lisu?
 
Prof. Kitila Mkumbo ambaye unaweza kumuita kuwa ni engeneer wa Chama kimojawapo cha upinzani hapa nchini (tukirejea sakata la waraka wa mabadiliko ndani ya Chadema) ameeleza kwa kujiamini kuwa bado vyama vya upinzani nchini havijajipanga KISERA NA KIUONGOZI hivyo Rais Magufuli anaenda kushinda tena 2020 kwa ushindi mkubwa.
Huyo mchumia tumbo tu hana jipya, ngoja tumnyoe kwa chupa hapo Ubungo ndo atajua tumejipanga
 
Ana haiba na ndio maana kawa mbunge karibu miaka 20 kawa waziri zaidi ya miaka 15 na anamaliza miaka yake 10 ya uraisi, utamfananisha na huyo takataka lisu?
Lisu jabari Muulize bwana wako anamjua vizuri. Kapwaya sana mbele ya gwiji Lisu.
 
Hayo maneno ya kusema sijui vyama vya upinzani havijajipanga kiuongozi au kisera au ni vichanga, Yalitumika kudanganya wananchi mwaka 1995 wakati wa uchaguzi mkuu wa kwanza chini ya mfumo wa vyama vingi, Lakini baada ya mda kidogo tu mabadiliko ya vyama tawala kwenye nchi jirani za Kenya, Congo, Zambia, Malawi na kwingineko, ilibainika wazi na dhahiri kuwa ulikuwa uwongo tu wa kuitaftia ushindi ccm!
Sasa kuendelea kutumia uwongo mwepesi kama huu hadi leo, kunadhihirisha kwamba ccm ilishafilisika sera zote! Wapishe wakae kando ili chama chenye maono mbadala kituvushe tulipokwama!
 
Naona MAMLUKI wa CCM asaiv wanavamia kila UZI unaohusu kampeni za Lissu kwa matusi na kejeli ilihali wana UZI wao humu umedoda ile mbaya hauna wachangiaji au ni wale wale tuliowazoea humu wazee wa kukurupuka...

......Ukweli unauma na ni mchungu, CCM hali ni mbaya sana ndio maana mna panic na kufoka foka kila UZI wa kisiasa humu jukwaani mbaya zaidi watetezi wa hiki chama ni walewale na akili zinafanana unaweza kuhisi ni mtu mmoja ndio ana own accounts zote, Vijana wa sisiem punguzeni jazba mtakufa na presha huku bado taifa linawahitaji....
 
Magu wenu arudi Chato akafanye mengine mengi huko Ila ikulu ni ya Lisu..
Wasingewaengua wagombea Ndio ingejulikana Kama wamejipanga kisera au hawajajipanga kiuongozi,zaidi kutetea njaa Hana jipya asubili kusulubiwa na wanaubungo Ndio atapata majibu
 
Bora amesema yeye.

Tukisema sisi tunaonena ni wazee wa Lumumba.
 
Kitila alihama kutoka CHADEMA kwenda ACT Wazalendo. Akahama ACT kwenda CCM, tena baada ya kurubuniwa kwa cheo. So, he might not be the right person mwenye moral authority ya kuvishambulia vyama vya upinzani

Magufuli atatangazwa na NEC (sio lazima awe ameshinda...) na hii haimaanishi eti CCM wana sera nzuri.

Matatizo yote tuliyonayo kama Taifa ni matokeo ya sera mbovu na ukosefu wa vision/political will kutoka kwa viongozi wa CCM
 
Amesema ukweli. Uongozi wa Taifa ni kujipanga na kujiandaa barabara na kuonyesha viashiria vya tabia za uongozi.Kinachowaponza upande wa pili ni ubinafsi, viongozi wa vyama kukosa maarifa na mbinu, mikakati,kutoongoza kitaasisi na kutosoma mchezo wa siasa.
Aliyepo alijipanga lini why ameboronga kila sehemu
 
Back
Top Bottom