selemangrace346
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 463
- 634
Pumbavu.. sana Njaa n kitu kibaya sana, mkipewega vi vyeo mnasahau mlikotoka..Ulishindwa nn kuzifanyia kazi hizo weakness ukiwa ndani ya chama ?kukimbia ndo solution??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kwa taarifa yako, watu wa kigoma Zitto kabwe akishasema kwa wananchi wa kigoma kinachofuata ni utekelezaji, kura yake ni kwa Tundu Lissu na kwann mm nimnyime Tundu Lissu.
Kuna taarifa zisizo rasm ya kwanza ya kuwa waziri mkuu wa tz anakuja Kigoma kwa lengo la kufanya utaratibu wa kuiba hzo kurKigoma wakipigia Upinzani haitakuwa mara ya kwanza. Kwa hiyo, hakuna jipya hapo.
Kuna taarifa zisizo rasm ya kwanza ya kuwa waziri mkuu wa tz anakuja Kigoma kwa lengo la kufanya utaratibu wa kuiba hzo kur
Pumbavu.. sana Njaa n kitu kibaya sana, mkipewega vi vyeo mnasahau mlikotoka..Ulishindwa nn kuzifanyia kazi hizo weakness ukiwa ndani ya chama ?kukimbia ndo solution??
Kama wanavyoshindaga kwa kishindo kule zanzibarProf. Kitila Mkumbo ambaye unaweza kumuita kuwa ni engeneer wa Chama kimojawapo cha upinzani hapa nchini (tukirejea sakata la waraka wa mabadiliko ndani ya Chadema) ameeleza kwa kujiamini kuwa bado vyama vya upinzani nchini havijajipanga KISERA NA KIUONGOZI hivyo Rais Magufuli anaenda kushinda tena 2020 kwa ushindi mkubwa.
Kuitwa Dr/Prof kipindi hiki ni aibu sana kwa kweli.Njaa mbaya sana.
Kule Hai Tume inakuwaga huru
There is a very thin line between what is perceived to be good and what is actual reality. Its hidden in time. If you crossover you will know in fullBora wajipange madarakani kuliko CCM kubakia madarakani
Jielimishe kidogo, kuongozwa haimaanishi kupelekwa/kuletewa begi la hela. Sijajua neno uongozi kwako lina tafsiri gani mana naona unawaza kuletewa begi la helaMalengo/mafanikio yako hayaletwi na kiongozi yeyote, unajiletea/jitafutia mwenyewe, au wewe ni mmoja wa wale wanaoamini mpinzani akishinda atapewa begi la hela?
Angalizo fanya kazi utimize malengo yako