Kitimoto kupatikana Zanzibar ni ishara ya uvumulivu

Mwamba Kitimoto utajua Umuhimu wake Ukiwa unatumia ARV Maana zile dawa kali na ukigonga kitimoto. Wewe acha tu .
 
Huwezi kumuepuka nguruwe kizembe.

Saud Arabia pamoja na sheria kali lakini wameshindwa kumdhibiti ndio iwe zenji?

Hata ikitokea watu wakaenda kuweka makazi Mars, mnyama wakwanza kufikiriwa kubebwa atakuwa ni nguruwe.
 
Huwezi kumuepuka nguruwe kizembe.

Saud Arabia pamoja na sheria kali lakini wameshindwa kumdhibiti ndio iwe zenji?

Hata ikitokea watu wakaenda kuweka makazi Mars, mnyama wakwanza kufikiriwa kubebwa atakuwa ni nguruwe.
Saudi Arabia? Aisee!!!
 
Hakuna sheria ya kuzuia kitimoto Zanzibar
Kitendo cha asilimia kubwa ya Wakazi wake kutokuitaka ingeweza kuwa sababu tosha ya kukosekana. Wazanzibar wengi ni Waislamu, na Muislamu na nguruwe ni kama mafuta na maji.
 
Hata kama CD4 Zimeshuka ukitumia hiyo kitu Fasta tu zinapanda. Ikiwa unatumia dawa zozote kali sana mpaka zinakuyumbisha Piga kitimoto utakuja nishukuru.
Kama ndivyo, inapaswa kupitishwa kuwa miongoni mwa lishe maalum kwa watu wenye changamoto za kiafya.
 
Mkuu, si ajabu kwa Mzanzibar kutumia hicho kitoweo kwa sababu si Wazanzibar wote ni wafuasi wa dini ya Kiislamu. Na hao wanaopenda kuila wakiwa vyumbani, mimi nawaona ni wastaarabu. Hawataki kuwakwaza wasioitumia. Hata mimi ningefanya hivyo ikitokea nataka kutumia chakula nikipendacho lakini ni haramu kwa wengine. Si vizuri wengine kukwazika kwa sababu ya starehe zako.
 
Sidhani! Mzee Said Salim Bakressa asingekubali hata kama ingelipiwa nauli ya shilingi bilioni kumi kwa kila "mbuzi"
Acha ubishi... Mimi ni mfanyabiashara wa nyama kwenye kampuni zinazo sindika nyama. Nguruwe inapelekwa Zanzibar na hayo makampuni ila kwenye label ya mzigo inaandikwa Jina jingine la lugha ngumu 🀣🀣🀣 na hakuna kitu kinaingizwa Kwa magendo Zanzibar kama nguruwe. Kila siku kwenye ile mizigo unauona pale bandarini na nguruwe yumo pia😭😭😭​
 
Watanganyika Wana akili sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…