Kitimoto kuuzwa holela si ustaarabu!

Mi naona iyo ni nyama ya Ng'ombe na sio Kitimoto,

Lakini pia mwenye butcher kalenga wateja wake ni wa kristu tu, na kawahakikishia nyama imechinjwa na mkristu mwenzao......!
Hakika. Wana tabu hawa wenzetu. Mimi kwangu nikichinja kuku au kitoqeo chochote kusema huli acha
 
 
Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?

Umelazimishwa kununua ?! Umelazimishwa kula ?? Ebo !! Waislamu ni watafutashari, waswahili, wagomvi, watu wenye nongwa, wajuaji na wajinga sana.

Kwahiyo nyie mmepangiwa sehemu za kuuza tende au mnauza popote mtakapo ?! Waislamu ni wajinga sana miaka ya nyuma pale UDOM eti wakaandamana wajengewe msikiti ndani ya chuo. Hawa watu sijui hua wana akili gani
 
Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?

umelazimishwa mbona mnakuwa na ujinga vichwani sasa unataka iuzwe vichochoroni wewe unaakili kweli mbona unadharau mboga wewe ndio siyo mstaarabu na tumefika mwisho sasa hii siyo nchi ya imani fulani ni ya watanzania kama bwai na iwe kila kukicha niujinga tuuu
 
Kumbe hata wewe Kinyungu hujui.
Atafute rafiki wa kike,
Waagize kilo mbili roast na ndizi sita zile kubwa.
Wakati wanasubiri waagize konyagi zaizi ya Kati. Wakishakula wahushie na bia mbili mbili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…