tamsana
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 3,739
- 8,044
🤣🤣🤣🤣Hana baya akidiss m1 wanamlike 100View attachment 2396557
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Hana baya akidiss m1 wanamlike 100View attachment 2396557
Mbona bar zipo kila kona na hamsemi..?? Imani yako iwe moyoni mwako na sio vinginevyo. Imani yako sio ya wengine.Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?
Kabsa mkuu"Kuuza mdudu ni ruksa"
Wateja ni hao hao wanaoipinga.
Hakika. Wana tabu hawa wenzetu. Mimi kwangu nikichinja kuku au kitoqeo chochote kusema huli achaMi naona iyo ni nyama ya Ng'ombe na sio Kitimoto,
Lakini pia mwenye butcher kalenga wateja wake ni wa kristu tu, na kawahakikishia nyama imechinjwa na mkristu mwenzao......!
Watu wanajenga Mangalore kwa kupitia huyo mnyama mkuu
Na wewe fuga uza fungua bucha
Kitimoto mmoja alienona bei yake si chini ya 800k hadi 1M
Hapo bado hujauza vitoto
Hapo bado hujakodisha kwa ajili ya kupandishia
See you soon tafuta pesa acha makasiriko..
Umelazimishwa kununua ?! Umelazimishwa kula ?? Ebo !! Waislamu ni watafutashari, waswahili, wagomvi, watu wenye nongwa, wajuaji na wajinga sana.Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?
Mkuu akikujibu niite, hii mimtu hua haina akili hata roboMbona tende zinauzwa holele tu hauulizi?
Sema wote tunamkula huyu jamaa , aibu tu na UNAFIKI flani ila wote tunamgongaView attachment 2396511
Na wabishi, ujuaji na ushari shari tu. Dini ya vichwa maji.View attachment 2396506
kuna dini imejaa watu wapuuzi sana.
Wao wanayotaka hawaoni kuwakera wengine, haya magaidi hayako tolerant hata kidogoVipaza sauti vya adhana kulia ovyo pia sio ustaarabu
umelazimishwa mbona mnakuwa na ujinga vichwani sasa unataka iuzwe vichochoroni wewe unaakili kweli mbona unadharau mboga wewe ndio siyo mstaarabu na tumefika mwisho sasa hii siyo nchi ya imani fulani ni ya watanzania kama bwai na iwe kila kukicha niujinga tuuuKatika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?
Hilo kanisa la tag liko wapi nataka nisali hapo ibada ya pili afu nimuungishe huyo nduguSema wote tunamkula huyu jamaa , aibu tu na UNAFIKI flani ila wote tunamgongaView attachment 2396511
Harufu ya nyama ya mtu ikoje mkuu..?Kuna siku nguruwe wa jirani alikuwa anaruka bandani akakatika matiti, nguruwe mlaini sana.
tukaenda kumchinja, asee ile kukwarua ukoko wa ngozi inatoka harufu kama ya mtu.
Nilipewa nyama lakini sikuweza kuila.
Kaa kama wiki hujaoga sehemu ya joto kama dar alafu nusa kwapaHarufu ya nyama ya mtu ikoje mkuu..?
Umeuwa sana mkuuMbona tende zinauzwa holele tu hauulizi?
Kumbe hata wewe Kinyungu hujui.Nenda hapo ulipopiga hiyo picha. Agiza kilo moja, mwambie akutengenezee roast kavu na ndizi 2.
Kakaa sehemu ina kivuli, agiza bia mbili za Serengeti Lite wakati unasubiria kitimoto kiwe tayari, akishaleta kula hiyo kitimoto kisha agiza tena bia moja ya kushushia.
Utakuja kunishukuru
Wakristo wanakera sanaInasikitisha Karne ya 21 bado hatuna ustaarabu. Kwann?