Kitimoto kuuzwa holela si ustaarabu!

Kitimoto kuuzwa holela si ustaarabu!

Unasema?!
images.jpeg
images.jpeg
 
Mbona hulaumu kuhusu jeans ya mgunda kila mechi anaivaa,, binafsi acha kiongozi wa meza aliwe tena iwe saa sita mchana
 
Pombe zinauzwa kiholela.....
Condom zinauzwa kiholela....
Sigara zinauzwa kiholela.....
Bar zipo kiholela......
Casino zipo kiholela....
Kamari, Bahati nasibu, Betting zipo kiholela...
Kumbi za muziki na Disko zipo kiholela...

Vitu vyote hivyo ni haramu katika uislamu na kwenye dini zingine, pia haviruhusiwi umri chini ya miaka 18, lakini mleta mada havioni kama ni shida, yeye ameona shida ni nyama ya kitimoto kuuzwa kiholela wakati ni kitoweo cha kawaida kwenye familia nyingi, na anaweza kununua na kula hata mtoto mdogo.
Aende china au nchi USA atajua kitimoto ni nyama yao pendwa ,ngombe ni anasa.
 
Hakuna mahali Waislamu wamekatazwa kula nyama ya nguruwe.

Ninachokumbuka wamekatazwa kula nyama ya nguruwe wakiwa wameshiba kuchelea wasije wakavimbiwa na kuwa walafi.
 
Tena Nyie na Azana zenu,alkasus za modi, makanzu yenu msituletee mitaa.

Nyie DINI ya mwanyazi MNA Matatizo sana. Azana Hadi Leo watu Wana saa simu alam nk...
Nyie wa ajabu sana
 
Hakuna mahali Waislamu wamekatazwa kula nyama ya nguruwe.
Ninachokumbuka wamekatazwa kula nyama ya nguruwe wakiwa wameshiba kuchelea wasije wakavimbiwa na kuwa walafi.
Haujui chochote ujuaji tu
 
Aisee mwacheni bana uyo mdudu mbona manamsimanga hivi huyu bana achemshwe alafu ajirosti alooh, nina wanangu ni waislam na wanamla vizuri na uwaambii kitu ila wakiwa nje wanamponda kinoma
Hakika Sheikh umenena ya kweli, sema Siri ya kambi haipaswi kujulikana
 
Umefuata nini buchani kama hayakuhusu? Tujifunze kuvumiliana! Ila si vyema kuwanyanyasa watu wanaotumia kitu fulani kama hawajavunja sheria, what if na wale wasio kula kuber wakisema ni haramu ? Tunakwandaje?
 
Umefuata nini buchani kama hayakuhusu? Tujifunze kuvumiliana! Ila si vyema kuwanyanyasa watu wanaotumia kitu fulani kama hawajavunja sheria, what if na wale wasio kula kuber wakisema ni haramu ? Tunakwandaje?
Point
 
Kwa sheria ipi hapa Zanzibar mbona kule pombe wanatunyima
 
Back
Top Bottom