NITATOA USHUHUDA
JF-Expert Member
- Jul 6, 2017
- 757
- 728
BY THE WAY HONGERA MKUU KWA KUNUNUA I PHONE 8+Wakafie mbeleee na dini zao zilizoletwa Africa na Ngalawa na Mashua[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Sent from my IPhone 8+ using Jamii Forums mobile app
nilipokutana na hubby akajiaminisha atanilisha niwe nakula !alishindwa jaman ananleataga hom amemix na mbuzi mie nikichek tu najuaga hapa usalama hakuna!sili !marafiki zangu waliwah nifungua mdomo kwa ngv hahahaha nililiaaaaa since then hawaniiti kwenye mikusanyiko yao !kwanza ilivyo tu nguruwe sura lake!plus manyoya yake na inavyolia uwiiiiii!
nashanmgaa wanangu wanapokonyana hiyo nyama wanakulaga had kilo kbs naumia moyoni nasema Mungu hawa watt umewafanyaje wale kitimoto jaman !arghhhhhhhhhhhhl
Duh kwahiyo wewe hapo umeona iphone tu siyoBY THE WAY HONGERA MKUU KWA KUNUNUA I PHONE 8+
Napendelea roast na ndizi zichanganywe humohumo![emoji39]Usijali.4kgs na ndizi tano mzuzu zinatutosha kabisa.Je unapendelea Roast,Choma au Kavu.
Wanasema tu wakati wenyewe ndio wadau wakubwa[emoji3]Hofu ondoa umepata.Japo wamekuja na propaganda kuwa nyama yetu pendwa inasababisha kifafa.
Hahahaha mkuu njoo hii meza ya chin ukiwa unaelekea jikon kata kushoto nipo nimeket tuchafue meza
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeuwiiii mate yamenichuruzika,itabidi niitafute leo hii mweh[emoji39] [emoji39]
Unaongelea hii!!
[HASHTAG]#God[/HASHTAG]! heal Lissu the Hero#
Maisha yangu yote sijawai kula hiyo kituu na sitadhubutu ni haramu ptuuuuuAman ya bwana iwe nanyi wapendwa katika bwana
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Mungu aliiumba dunia hapo zaman za kale, aliumba wanyama wakali kama simba na wajanja kama sungura, lakin hakuishia tu kuumba wanyama wakali na wajanja wajanja bali alienda mbali sana na kuumba wanyama wa kufuga kama mbuz na kondoo ambao ni kitoweo kizur sana
Lakin muumba alikuwa na wazo la kumuumba mwanadamu hivyo haikuwa rahisi sana kumuumba mwanadamu pasipo zawad safi ya nyama tamu na kitoweo safi kama mbuz katoliki yaan kitimoto, ni kweli mungu alifanikisha hilo akaweza kumpa zawad mwanadamu ya kitimoto ambayo ndo nyama tamu kushinda zote ulimwenguni
Kuna wengine hudai nyama ya kitimoto ni haramu, hakika hawa wasemavyo hivyo hawajui walisemalo maana kama wangekua wanajua wakisemacho wasinge sema hivyo.
Vitu vyote haramu Mungu hakuviumba
Kwahiyo nawambia ambao huwa wanasema nguruwe ni haramu wajue kabisa kwamba vitu vyote haramu mungu hakuviumba kwahiyo wapambane tu na hali zao
Mungu aliwaumbia wanaume wanawake kwa sababu ni halali, mashoga si halali kwa sababu si kusudio la Mungu
Mungu aliwaumbia wanawake wanaume kwa sababu ni hahali kwao, endapo isingikuwa halali muumba asingemufinyanga adam kwa ajili ya eva na eva kwa ajili ya adam
Ni hayo tu lakin kaen mkijua VITU VYOTE HARAMU HAVIKUUMBWA NA BADO HAVIJAUMBWA maana Mungu si mjinga wa kuumba vitu afu viwe haramu
Zaman nilijulikana kama NANYUPU
LONDON BABY
Sent using Jamii Forums mobile app
ONA HAWA WATU WALIVOCHOKA...[emoji1]HAITOSHI BADO WANAKUNYWAGA BIA ZA SUKARIGURUYani apa ni kutamanishana jamani chaa
Lyaga mayunilipokutana na hubby akajiaminisha atanilisha niwe nakula !alishindwa jaman ananleataga hom amemix na mbuzi mie nikichek tu najuaga hapa usalama hakuna!sili !marafiki zangu waliwah nifungua mdomo kwa ngv hahahaha nililiaaaaa since then hawaniiti kwenye mikusanyiko yao !kwanza ilivyo tu nguruwe sura lake!plus manyoya yake na inavyolia uwiiiiii!
nashanmgaa wanangu wanapokonyana hiyo nyama wanakulaga had kilo kbs naumia moyoni nasema Mungu hawa watt umewafanyaje wale kitimoto jaman !arghhhhhhhhhhhhl