let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
Nilikuwa mimi Baba , Mama na mdogo wangu wakike tukielekea shambani majira ya asubuhi.
ghafla kwa mbele yetu tuliona watu watu 3 ila sio binadamu wa kawaida, macho yao yalikuwa makubwa na nyuso za kuchongoka na zaidi hawakuwa na nguo.
tuliwashangaa kwa kuwakazia macho na wao pia walikuwa wakituangalia bila kuonyeasha wasiwasi wowote machoni mwao.
baba alisema uenda ni malaika.
baada ya miaka mingi kupita na kukutana na masimulizi ya watu ya matukio kama ilo nikagundua mimi na familia yangu tuliona Allies.
** NUKUU KUTOKA KWA JAMAA MMOJA WA BOTSWANA**.
ghafla kwa mbele yetu tuliona watu watu 3 ila sio binadamu wa kawaida, macho yao yalikuwa makubwa na nyuso za kuchongoka na zaidi hawakuwa na nguo.
tuliwashangaa kwa kuwakazia macho na wao pia walikuwa wakituangalia bila kuonyeasha wasiwasi wowote machoni mwao.
baba alisema uenda ni malaika.
baada ya miaka mingi kupita na kukutana na masimulizi ya watu ya matukio kama ilo nikagundua mimi na familia yangu tuliona Allies.
** NUKUU KUTOKA KWA JAMAA MMOJA WA BOTSWANA**.