Kitu cha ajabu chaonekana kikiwa angani jana jioni

Kitu cha ajabu chaonekana kikiwa angani jana jioni

Iyo inanikumbusha mwaka 2008 nikiwa morogoro uko vijijini kwa bibi majira ya saambili usiku kilipita chombo cha umbo la duara juu angani kikiwa na mwanga mkali sana na kikaelekea ktk milima ya Udzungwa, watu wengi walisema ni kimondo kimeanguka lakin hapana. Kimondo kinaanguka kwa anguko la vertical au orizontaly,, ile ilikuwa kinatembea obrique angani tena mwendo wa taratibu na kilikuwa kinaangaza mwanga mkali sana. ARIENS UFO is real
 
hata mimi niliwahi kuona sijui kimondo kipo chibi kabisa kinamulika hadi ardhi kikubwa balaa kinawaka mwanga wa jua. ilikuwa mwaka 2006 au na 5 huko morogoro
Bro ni kwel kabisa iyo nahis ilikuwa 2006 au 2008 ni morogoro kilombero bro ktk kijiji flan ivi kinaitwa mang'ula kama sijakosea, au wew bro uliona wapi
 
Inaweza kuwa ni satelight ikihama kutoka eneo moja kwenda lingine!
 
Brother, ulichokiona wewe pamoja na hao wenzio, ni UFO. Vyombo hivyo huonekana mara chache Sana na ni kwa ghafla, na wala huwezi piga pica kwa sababu vifaa hivyo vina kasi kubwa Sana.
Nakushauri, siku ukiona chombo hicho angani , sepa jifiche unaweza ukachukuliwa na vyombo hivyo kimya kimya. Hiyo mianga uliyoiona ni "Laser rays ",ambapo ikielekezwa kwako unaunguzwa na kufa pale pale.
Kama umeona UFO, ujue kuwa vifaa hivyo waliomo ndani yake ni Aliens, (viumbe kutoka outer space. Chunga Sana brother.
 
Nikajua ni mimi ninae Cheka na hizi na hizi comment..
 
IMG-20211120-WA0014.jpg
au kilikuwa ni hichi
 
Hii thread bhana nilikua na stress zangu hapa Ili tangu nimeisoma nafurahi tu. Hizi comment aisee hatari sana.. ngoja ni subscribe kabisa..
 
Bro ni kwel kabisa iyo nahis ilikuwa 2006 au 2008 ni morogoro kilombero bro ktk kijiji flan ivi kinaitwa mang'ula kama sijakosea, au wew bro uliona wapi

kaka mimi nilikuwa ifakara enzi hizo. Nusu nife kwa presha. ni kweli ilikuwa mida ya saa mbili usiku. kinapita chini wala hakina speed kipo mdogo mdogo
 
Aisee! Ina maana hakuna anayeishi maeneo hayo ya mleta mada na yeye akaleta maelezo ya kukiona? Wala hakuna aliyepita maeneo hayo akashuhudia pia? Wala hakuna mwingine yeyote kutoka popote aliyeona kitu hiyo kwa muda huohuo au kabla au baada ya muda huo!?

Kweli naamini hii ni ndoto ya mtu mmoja kuota akiwa na majirani zake wawili wakishuhudia chombo (lidubwasha) la ajabu likipaa angani (ONLY FOR JOKES)

Tukirudi kwenye (UFO) nakubali huenda kukatokea kitu kama hizo lakini kutokuzijua isiwe sababu ya kudanganyana eti ALIENS mara sijui viumbe wenye akili kuliko mwanadamu mara... huo ni uongo uliokubuhu na sote kwa pamoja tuseme BIG NO!

Marekani na majeshi makubwa makubwa duniani wana propaganda za kipuuzi sana za kutulemaza katika kila nyanja!

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Jana jioni zikuweza kuonana na jirani zangu. Nitajitahidi kuwatafuta siku ya leo kila mmoja kwa wakati wake ili niweze kupata mawazo ya kila mmoja wao akiwa huru.
 
Back
Top Bottom