Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee umeniacha hoi!!!!!!!!!Itakua ndoto hiyo yaani zile ndoto unaota ukiwa macho mi pia ushawai kuota hivyo hivyo sema mimi ilikua ni safari ya kwenda mbingun [emoji16] yaani Kwanza movie linaanza niko zangu njiani to mbingun nikawa napita katikati ya msitu mnene nikaumaliza ule msitu ile natoka tu nikakutana na bonge la mlima nikapanda nikaumaliza ile na maliza tu nikakutana na bonge la mto yaani sion ng'ambo ya pili na kivuko sikion nikakumbuka kua huo mto ni jordan na ndio ilikua stage ya MWISHO niingie zangu mbingun MIE[emoji3059][emoji3059] nikavuka KWA kupaa nikatua ng'ambo ya pili ile natua tu hata sijapiga jicho popote nasituka saa saba mchana na hata sikulala [emoji16]mweee ndoto za mchana salute
Umejuaje kama ni uongo mkuu?uongo huo
Aisee hiki ni kitu gani na hii picha uliipiga mwenyewe ama?View attachment 2018999au kilikuwa ni hichi
Zinaitwa dronesSijui ni mimi pekee yangu na jirani zangu wawili ambao ndiyo tulikishudia chombo hicho, ama ilitokea pia kwa watu wengine. Ilikuwa jana yapata saa moja jioni, giza ndiyo kwanza limeingia, ile tu natoka nje ya geti la uzio wa nyumba yangu kwenda club kuangalia pambano la soka kati ya Liverpool na Arsenal, nikaanza kusikia sauti ya mvumo kama ule wa sauti za nyuki wengi wawapo angani.
Ilikuwa ni sauti ambayo haiko endelevu, bali inasikika kwa muda na hatimaye inakatika na kubakia kimya kwa kitambo. Nilitembea kama hatua kumi na tano, hivi nikawakuta jirani zangu wawili.
Baada ya kusalimiana walinionyesha kushangazwa na kitu hicho cha ajabu kilichokuwa kikitoa mlio wa ajabu. Licha ya sauti yake pia kilikuwa kikitoa mianga ya taa nyingi za rangi ya bluu.
Kwa sekunde kadhaa kilikuwa angani kikielekea uelekeo wa mawio ya jua. Lakini tofauti na ndege nyingine ziwapo angani, ambapo husafiri kwa upande mrefu kuwa ndio muelekeo wa chombo, chenyewe kilioneka kama vile kinasafiri kwa ulekeo wa mapana yake.
Je! Kuna mtu mwingine pia alilishuhudia jambo hili siku ya jana? Ingalikuwa ni mimi pekee yangu ndiye ambaye nilishuhudia jambo hili ningelipotezea, na hata ningevuta subiri ili atokee shuhuda mwingine ambaye angesimulia.
Sasa mashuhuda tulikuwa ni watatu, tena wote watu waxima. Je! Kuna mtu mwingine aliweza kulishuhudia hapa jukwaani.
Juzi hiyo huku mkoaniAisee hiki ni kitu gani na hii picha uliipiga mwenyewe ama?
Binadamu tupo tofauti sana. kwa mimi inaweza pita miezi hata kumi 10 siwezi angalia ANGANI zaidi ya sec 15 yani zimezidi sana sec 7
Tabu sana kwa kweli!!. Yaani huwezi hata ku-imagine kusafiri au kwenda kwa mapana yake! Is it serious?Sijapaelewa hapo
Mfano mshale husafiri kwa urefu wake. Sasa uwe unasafiri kwa mapana yake. Ndege (aeroplane) huruma kwa urefu wake, na badala yake iruke kwa mapana yake.Sijapaelewa hapo
■■■Tabu sana kwa kweli!!. Yaani huwezi hata ku-imagine kusafiri au kwenda kwa mapana yake! Is it serious?
Kubali tu ilikua ndoto.Natambua umuhimu wa kuchukua picha, lakini mazingira niliyokuwepo ilikuwa ni vigumu kufanya hivyo.