Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ameshaathirika kisaikolojia...............msaidie atoke chaputa, kuna madhara mengi siku za usoni ambayo inaweza kuathiri uzazi wakejamaa nilimkuta na chupi ya demu getto na nafahamu kabisa hana demu ikabidi nimbane ndio akasema kwamba ameiiba bafuni (anaishi nyumba ya kupanga na kuna wanawake) hivo basi huwa anaitumia kwenye shughuli pendwa za kile chama cha chaputa
Huyo ameshaathirika kisaikolojia...............msaidie atoke chaputa, kuna madhara mengi siku za usoni ambayo inaweza kuathiri uzazi wake
HhahhaahaDuniani kuna maajabu...................msela amabaye tunaivana kinomo alinionyesha handaki anachimba chumbani kwake, anasema anachimba umbali wa mita 250 akifika huko ndo anachimba zaidi na kufanya iwe chumba, akimaliza anaweka zege na mifumo ya maji, umeme na hewa. Sababu anasema kuna vita kubwa itakuja kutokea hapa so anaandaa makazi yake huko
IMAGINE!
Bila Shaka huyo jamaa ako ni Don Nalimison bila shaka maana kwa story hiyo akili zao zinaendana.Duniani kuna maajabu...................msela amabaye tunaivana kinomo alinionyesha handaki anachimba chumbani kwake, anasema anachimba umbali wa mita 250 akifika huko ndo anachimba zaidi na kufanya iwe chumba, akimaliza anaweka zege na mifumo ya maji, umeme na hewa. Sababu anasema kuna vita kubwa itakuja kutokea hapa so anaandaa makazi yake huko
IMAGINE!
Hahahaa Fara wewe (joking)Hahaaaaa..............wewe kwisha habari yako mzee
Nilipowatembelea baadhi ya marafiki zangu kuna vitu vya ajabu nimekutana nazo. Vitu hivi vinachekesha na vingine vinaogofya ama kutisha.
Kuna mmoja nilikuta geto yake ana kitanda cha hospital
Jemba mwingine nilikuta glass 20 za baa geto kwake.
Hebu share nawe ulichokuta kwa rafiki yako ambayo ni amazing, wonderful and inspiring.
Jiko la gesi kitandani
Kuna mwana mwingine nimekuta ana chumba mbili ndani ya master, nyingine amehifadhi jeneza jipya na suti mpya, nikamuuliza what's the meaning of this, akajibu anaandaa makao yake na hataki kuwapa ndugu na jamaa usumbufu wa gharama akiondoka duniani
Hii iko sana kitaa uswahilini, ukitoka nje usiku kwenda kukojoa huku nyuma wana wanahamisha kinachobebeka fastaKopo la kukojolea aisee..yaani usiku hatoki nje ni mwendo wa kujisevia kwenye kopo..
Huyu atakua mla bangeDuniani kuna maajabu...................msela amabaye tunaivana kinomo alinionyesha handaki anachimba chumbani kwake, anasema anachimba umbali wa mita 250 akifika huko ndo anachimba zaidi na kufanya iwe chumba, akimaliza anaweka zege na mifumo ya maji, umeme na hewa. Sababu anasema kuna vita kubwa itakuja kutokea hapa so anaandaa makazi yake huko
IMAGINE!
Duniani kuna maajabu...................msela amabaye tunaivana kinomo alinionyesha handaki anachimba chumbani kwake, anasema anachimba umbali wa mita 250 akifika huko ndo anachimba zaidi na kufanya iwe chumba, akimaliza anaweka zege na mifumo ya maji, umeme na hewa. Sababu anasema kuna vita kubwa itakuja kutokea hapa so anaandaa makazi yake huko
IMAGINE!
Haaaaa Haaaaa 😂 jamani sio kweli, haaaa 😂jamaa nilimkuta na chupi ya demu getto na nafahamu kabisa hana demu ikabidi nimbane ndio akasema kwamba ameiiba bafuni (anaishi nyumba ya kupanga na kuna wanawake) hivo basi huwa anaitumia kwenye shughuli pendwa za kile chama cha chaputa