Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kuna Siri kubwa wengi hamuwajui, CCM kupitia kampuni yake tanzu ya Jitegemee holdings co, limited namiliki migodi mikubwa hasa ya mnakaa ya mawe ambayo imejigawia, na sidhani hata kama bill za umeme wanalipia na watu OSHA na Nemc hawathubutu kukanyaga kwenye migodi hiyo.Kila siku tunaambiwa ikitoka CCM Madarakani hakuna chama kingine cha siasa chenye uwezo wa kuchukua nafasi yake.
Hivi CCM inafanya kitu gani chanya kwa Tanzania ambacho vyama vingine vya Siasa havitaweza kufanya CCM ikitolewa madarakani?
Wizi wa kijinga.Kila siku tunaambiwa ikitoka CCM Madarakani hakuna chama kingine cha siasa chenye uwezo wa kuchukua nafasi yake.
Hivi CCM inafanya kitu gani chanya kwa Tanzania ambacho vyama vingine vya Siasa havitaweza kufanya CCM ikitolewa madarakani?
CCM ni Mbuyu unaopaswa kukatwa maana umejaa mashetani mengi sana!Kila siku tunaambiwa ikitoka CCM Madarakani hakuna chama kingine cha siasa chenye uwezo wa kuchukua nafasi yake.
Hivi CCM inafanya kitu gani chanya kwa Tanzania ambacho vyama vingine vya Siasa havitaweza kufanya CCM ikitolewa madarakani?
Wizi na ufisadi wa mali za ummaKila siku tunaambiwa ikitoka CCM Madarakani hakuna chama kingine cha siasa chenye uwezo wa kuchukua nafasi yake.
Hivi CCM inafanya kitu gani chanya kwa Tanzania ambacho vyama vingine vya Siasa havitaweza kufanya CCM ikitolewa madarakani?
Sahihi sanaCCM ni Mbuyu unaopaswa kukatwa maana umejaa mashetani mengi sana!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Nadhani ni Wizi na kuuza maeneoKila siku tunaambiwa ikitoka CCM Madarakani hakuna chama kingine cha siasa chenye uwezo wa kuchukua nafasi yake.
Hivi CCM inafanya kitu gani chanya kwa Tanzania ambacho vyama vingine vya Siasa havitaweza kufanya CCM ikitolewa madarakani?
Vyama vingine Bado vinagombea madaraka hivyo haviwezi kuleta mshikamano wa Taifa.Kila siku tunaambiwa ikitoka CCM Madarakani hakuna chama kingine cha siasa chenye uwezo wa kuchukua nafasi yake.
Hivi CCM inafanya kitu gani chanya kwa Tanzania ambacho vyama vingine vya Siasa havitaweza kufanya CCM ikitolewa madarakani?
Ili chama kiwe chama taasisi kinatakiwa kiwaje!!??Vyama vingine Bado vinagombea madaraka hivyo haviwezi kuleta mshikamano wa Taifa.
Ni Vyama watu na sio taasisi
Chawa anakaa sehemu yenye uchafu. Mtu akiwa na chawa maana yake sio mtu safi.Kuzalisha "Chawa wengi" Aisee Kuna machwa mtaani kibao....ni hatari Sana natudia
Kuna machwa wengi sana mtaani...namaanisha Chawa.
Ina maana JPM alivumilia haya ?Sasa hizo roli anakwenda kusaini mkataba kila roli hesabu yake million moja plus Kwa siku na diesel wanawekewa na mgodi.
Wanaofaidi CCM siyo hawa machawa wanaoganga njaa humu, wenyewe wapo kimya.
Ndio utashangaa kwenye uchaguzi mtu anafadhiri pesa za rushwa hata hujui anafaidika na nini kumbe ukweli kuna Siri kubwa wengi hawajui.
Baada ya CCM kuifilisi SUKITA wamekuja kivingine na hii Jitegemee holdings co, limited ambayo hata CAG hajui wala haikaguliwi na CAG.
Unapotaka kushindana na CCM basi Kwanza uelewe huu ukwasi inaomiliki CCM ambao wamejigawia kinyemela wakati ni Mali ya Watanzania wote lakini CCM wamehodhi, na nguvu zao ndio zimejificha huko.
Hao wanasiasa wa upinzani wanapiga kelele tu hilo dubwasha CCM linaweza kuondolewa tu pale Watanzania wenyewe watakaposema sasa basi imetosha.
Kwahiyo nyinyi mlimuamini Sana JPM?Ina maana JPM alivumilia haya ?
UfisadiKila siku tunaambiwa ikitoka CCM Madarakani hakuna chama kingine cha siasa chenye uwezo wa kuchukua nafasi yake.
Hivi CCM inafanya kitu gani chanya kwa Tanzania ambacho vyama vingine vya Siasa havitaweza kufanya CCM ikitolewa madarakani?
wana Taasisi ingawa uimara wake kwa sasa ni wa mashaka kwani unaonekana kuporomoka kwa kasiKila siku tunaambiwa ikitoka CCM Madarakani hakuna chama kingine cha siasa chenye uwezo wa kuchukua nafasi yake.
Hivi CCM inafanya kitu gani chanya kwa Tanzania ambacho vyama vingine vya Siasa havitaweza kufanya CCM ikitolewa madarakani?