Mkuu
Allen Kilewella, mimi ni miongoni mwa wana JF wachache humu wenye uwezo wa kitu kinachoitwa graphology, huu ni uwezo wa kubaini the motives behind andiko lolote, hivyo nimehisi bandiko hili linanihusu kwasababu mimi ni miongoni mwa wanaosimama na CCM itatawala milele kwasababu hakuna replacement.
Kuna wengi wanadhani siasa ni kupiga blah blah tuu, no, siasa ni Sayansi, social science, political science, inafuata kanuni za scientific theory ya the Newton's first law of motion ya "The body in motion" ili kitu ki move from hapo kilipo lazima kwanza kutokea forces nyingine, ikimovuzishe, na kikiwa kwenye mwendo, lazima itokee forces nyingine ikisimamishe.
CCM ndio our body as a still body iliyo stands kwenye Ikulu yetu, ili CCM iweze kuondoka Ikulu yetu, lazima iondoshwe!, kwa katiba yetu hii, na sheria zetu hizi, na tume yetu ya uchaguzi hii, kwa vyama vyetu hivi vilivyopo, hakuna chama chenye uwezo huo wa kuiondoa CCM kwenye Ikulu yetu, hivyo kusipotokea mabadiliko, CCM Itaendelea kutawala milele!. This is a fact.
Na kwenye Political dynamics za siasa zetu, CCM ndio iliyopo kwenye motion ya kuiendesha nchi yetu, CCM ndio the body in motion, kitaendelea kuitawala Tanzania mpaka kitokee chama kingine chenye uwezo zaidi to stop CCM!. Vyama vilivyopo hata vikiungana vyote, vikasimamisha mgombea mmoja, bado they can't beat CCM kwenye urais ila kwenye ubunge, udiwani na serikali za mitaa, vitaambulia ambulia.
Kinachofanya CCM iendelee kuwepo ni kukosekana kwa replacement, nothing can exist in hollow, there must be a replacement kwanza ndipo CCM iwe replaced.
Wengi tunakutana tuu humu lakini hatujuani vizuri, sisi wenzenu wengine ni ma Political Consultants, nimefanya projections zangu kuhusu lini CCM inaweza kuanza kuondoka,
Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!
Ule uchaguzi wa 2015 ulikuwa ni fursa muhimu na adimu kwa upinzani kuingia Ikulu, mimi as a political consultant, nikajitole kuwasaidia bure
CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!
Nikawaeleza jinsi njia ilivyo nyeupe
Yametimia!, CCM Imechokwa!, CHADEMA Njia Nyeupe 2015!-Jipangeni!
Nikawashauri to be focused
Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
Wangefuata ushauri huo, saa hizi Chadema wangekuwa Ikulu toka ile 2015!.
P