Pre GE2025 Kitu gani cha Ajabu wanachofanya CCM Madarakani ambacho vyama Vingine haviwezi kufanya?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Somehow, I concur with you.
 
Kila siku tunaambiwa ikitoka CCM Madarakani hakuna chama kingine cha siasa chenye uwezo wa kuchukua nafasi yake.

Hivi CCM inafanya kitu gani chanya kwa Tanzania ambacho vyama vingine vya Siasa havitaweza kufanya CCM ikitolewa madarakani?
Ccm hawa cha Ajabu tena Vyama vya Upinzani vinaweza kuja na Mapya ambacho CCM hata wakuyajua Mbinu za kuyafanya Hawana

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Nini kilikusukuma kuingia CCM utawala wa Magufuli?
Kwanza haikuingia CCM utawala wa Magufuli, nimeIngia CCM mwaka 1988 nikiwa JKT.

Sababu za kugombea ni kusukumwa tuu na uzalendo kulisaidia taifa letu, serikali yetu ilikuwa inafanya baadhi ya mambo ndivyo sivyo, mwenye jukumu la kuisimamia serikali ni Bunge, nikaandika makala hizi mbili kuhusu Bunge letu Wabunge Wetu wa Ajabu!, Wanaachaje Bunge Lijipendekeze Kwa Serikali!, Wanajua Wajibu Wao?. Check 'n' Balance Itoke Wapi?

Na Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali?

Na ilipotokea issue ya CAG Prof Asad Asad Bunge letu likapitisha Azimio Batili kuwa halitapokea ripoti ya CAG Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG?

Nikawafungua macho Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba

Ndipo Bunge na wabunge wetu, wakalifutika uvunguni lile Azimio lao batili kimya kimya, wakaipokea ripoti ya CAG.

Hivyo nikaguswa kugombea ili nikasaidie, nikaweka wazi agenda zangu
View: https://youtu.be/Qr6j25jFGyI?feature=sharedP
 
Tuambie unadhani kwanini wajumbe wa Kawe walikutosa ?...na pia unadhani kwanini wenye Ccm yao walikutosa tena na kumpa kijiti Gwajima apeperushe bendera ya chama japo naye alitoswa na wajumbe kama wewe ?

Karibu...
 
Mosi kuna familia zimenufaika kuanzia kwa baba hadi wajukuu wanaendelea kutengenezewa mirija sababu ya CCM.

Pili watu wamejipatia utajiri chini ya mgongo wa CCM hivyo siku CCM ikitupiliwa mbali utajiri huo bandia utaishia hapo hapo.

Wafanyabiashara wakubwa ndio wakwepa kodi wakubwa hawa ndio huisaidia CCM katika damu na jasho , giza na mwanga ibaki madarakani iwe kwa fedha na mawazo.

Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wanazo kadi za CCM ulaji na mafao yao hutegemea CCM hawako tayari utawala mwingine uje kwani unaweza kuja na mipango tofuauti na hizi dezo wanazopata chini ya CCM.

Siku hivyo vitatu vikithibitiwa CCM kwisha habari yao.
 
Wengine hawajui ila wewe unajua! Ahahahahaha!!!
 
Kila siku tunaambiwa ikitoka CCM Madarakani hakuna chama kingine cha siasa chenye uwezo wa kuchukua nafasi yake.

Hivi CCM inafanya kitu gani chanya kwa Tanzania ambacho vyama vingine vya Siasa havitaweza kufanya CCM ikitolewa madarakani?
Siku wakifanyia KAZI haya mawazo ya CAG Ccm laana utaacha kuwatafuna watabaki na misukosuko tu
 
Si useme Tu kuwa uchaguzi wa 2015 CCM waliiba kura... unaogopa nini mkuu?

Any way umesema kweli.
 
Si useme Tu kuwa uchaguzi wa 2015 CCM waliiba kura... unaogopa nini mkuu?

Any way umesema kweli.
Huwezi kuiba from yourself!. Hii nchi na kila kilichomo ni mali ya CCM, hivyo hizo kura ni za CCM, hivyo hawajaiba ni wamechukua!
P
 
Kila siku tunaambiwa ikitoka CCM Madarakani hakuna chama kingine cha siasa chenye uwezo wa kuchukua nafasi yake.

Hivi CCM inafanya kitu gani chanya kwa Tanzania ambacho vyama vingine vya Siasa havitaweza kufanya CCM ikitolewa madarakani?
Wewe umesomeshwa na chama gani

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
kitendo cha kuwasombelea wanachama wake sehemu mbalimbali ili waende kwenye mkutano wao halafu wanatangaza kwamba wanapoendwa!!!!!!!
 
Kula Hela za umma waziwazi Hadi Sasa wameamua kuwalipa Hadi watoto wao wadogo wakiwanadi Kwa jina la "ccm chipukizi"
 
Kila siku tunaambiwa ikitoka CCM Madarakani hakuna chama kingine cha siasa chenye uwezo wa kuchukua nafasi yake.

Hivi CCM inafanya kitu gani chanya kwa Tanzania ambacho vyama vingine vya Siasa havitaweza kufanya CCM ikitolewa madarakani?
Labda nikupe oroza ya matukio halafu uamue kama NCCR wangeweza.
1. Taifa moja, kwingine kote ni mkusanyiko (motley collection of tribes) wa makabila.
2. Luga moja, Kiswahili, hakuna kwingine hata Ujerumani kuna Huegnots. Japan kuna Shanshu na South Africa wana jamii ya Wasandawi na UK wana Wawelsh. India wana Watelugu.
3. Uhuru 1961 Nyerere. Futa utumwa 1964 Karume
4. Azimio la Arusha 1967
5. CCM 1977
6. Vita vya Kagera 1978
7. Kung'atuka 1985 Mwinyi
8. Multiparty 1992 ingawa watu walikataa 80%
9. Amani na utulivu 1995 Mkapa
10. Ditto 2005 Kikwete
11. Ditto 2015 Magufuli
12. Ditto 2021 Samia

Sasa nipe ya CUF. Nipe ya NCCR. Hawa ndiyo wakongwe, CHADEMA ilianzia CCM Mtei akaja CCM Lowassa. Hapa tumekwepa Muungano kuvunjika, Waarabu kurudi Zanzibar, Udini wa CUF, kabila wa CHADEMA hadi leo Ilani yao ina serkali za Makabila na ushoga na uraipacha. Niendelee?

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…