Huwezi, trust me. Ubaya ni kwamba kuna wakati wewe utaona umejibu kawaida ila wanaosoma wakasoma kitu kingineNina mpango wa kuyaacha kabla ya huu mwaka kuisha [emoji85]
Never say never, mbona kuna mtu aliniambia umepata mchumba huko zenjiNdiyo maana nilisema siji kupanda chombo Cha maji maisha yangu yote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huwezi, trust me. Ubaya ni kwamba kuna wakati wewe utaona umejibu kawaida ila wanaosoma wakasoma kitu kingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyote viwili mkuuKulala nae kitandani au kufanya mapenzi?
Jamani Cute, dhambi za wazi hizi unajipatia kunkatalia [emoji28]
Wakuu,
Kuna vitu katika maisha ambavyo ni kawaida kufanywa na watu kila Siku,lakini inawezekana kwa wengine wakawa hawajawahi kufanya kabisa.
Sababu inaweza kuwa kutopenda,kukosa muda,sababu za kiimani nk.
Nikianza na mimi;
1.Sijawahi kabisa kutengeneza juisi ya matunda (Sharubati)katika maisha yangu,pamoja na kwamba huwa natumia ila ni ile iliyotengenezwa na wengine.
2.Sina kabisa akaunti kwenye mitandao maarufu hii mitatu ya Facebook,Instagram na Twitter,habari nyingi napata JF na vyanzo vingine.
Je wewe ni kitu gani ambacho wengine huona ni cha kawaida kufanya ila kwa upande wako hujawai kufanya?
View attachment 1466669View attachment 1466670
Unakuta mtu mwembamba litaulo kubwa kama shuka,anazungusha kama mara tatu hivi[emoji3]Sijawahi kujifunga taulo na kutoka nalo hata nje ya chumba cha kulala, kwanza kulifunga nikajiamini siwezi!
Mimi ni muumini mkubwa wa kaptula na tishets
Ndio nilimsamehe.Ulimsamehe?
Hahahaa. Kwa kuwa unawaza hayo basi ndio imetoka hiyo yaani huwezi tamani mana ukiwaza kuna wengine wanajamiiana, kukojoa na mauchafu kibao.Sijawahi kutamani kwa kweli, na ile hali sehemu moja wanaogelea watu kama wote maji yanaingia mdomoni wanatema humohumo inanichefuaga kwelikweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupiga nyeto
semper fidelis
Ndio wewe ulinipiga? Tehdada habari,naomba unitumie namba yako PM nina mazungumzo mazito na wewe.
itume haraka
Kunywa pombe sio kitu Cha kawaida mkuu.
Kumbe tupo wengi rafiki.
πππAlikukuta Anga zake?
Ujage ujaribu siku moja. πKama Mimi
Sijawahi kuogelea tangu nizaliwe