Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Wakuu,

Kuna vitu katika maisha ambavyo ni kawaida kufanywa na watu kila Siku,lakini inawezekana kwa wengine wakawa hawajawahi kufanya kabisa.

Sababu inaweza kuwa kutopenda,kukosa muda,sababu za kiimani nk.

Nikianza na mimi;
1.Sijawahi kabisa kutengeneza juisi ya matunda (Sharubati)katika maisha yangu,pamoja na kwamba huwa natumia ila ni ile iliyotengenezwa na wengine.

2.Sina kabisa akaunti kwenye mitandao maarufu hii mitatu ya Facebook,Instagram na Twitter,habari nyingi napata JF na vyanzo vingine.

Je wewe ni kitu gani ambacho wengine huona ni cha kawaida kufanya ila kwa upande wako hujawai kufanya?

View attachment 1466669View attachment 1466670

Sijawahi kujifunga taulo na kutoka nalo hata nje ya chumba cha kulala, kwanza kulifunga nikajiamini siwezi!

Mimi ni muumini mkubwa wa kaptula na tishets
 
Sijawahi kujifunga taulo na kutoka nalo hata nje ya chumba cha kulala, kwanza kulifunga nikajiamini siwezi!

Mimi ni muumini mkubwa wa kaptula na tishets
Unakuta mtu mwembamba litaulo kubwa kama shuka,anazungusha kama mara tatu hivi[emoji3]
 
Sijawahi kutamani kwa kweli, na ile hali sehemu moja wanaogelea watu kama wote maji yanaingia mdomoni wanatema humohumo inanichefuaga kwelikweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa. Kwa kuwa unawaza hayo basi ndio imetoka hiyo yaani huwezi tamani mana ukiwaza kuna wengine wanajamiiana, kukojoa na mauchafu kibao.

#Mnaoogeleaga msiseme yale maji yanatembea hivyo kuko salama mule. 😂😂
 
Back
Top Bottom