Mtafutie kwa kweli ili angalau wanae wawe na damu ya kinyakiYaani anatamani angekuwa mnyaki: basi tu. Namtafutia kaka yangu
Bora unisaidie kuomba mwayegoWe jichetue tu, hebu tuma huko!!
Teh teh bora hata mimi. Halafu usitake nikuambie alichosema bujibuji kuhusu wanawake wa ileje haki ile comment nilicheka hadi niliscreenshot sema nilishafuta picha nikasema tu anne akipita hapa akaona huu utakuwa ni utani wa ngumi.Yaani unanisingizia naona kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila sasahivi nimekuwa mtakatifu sana kwenye ule Uzi tangu maajabu yanikute
Ndiyo utetezi wake siku zote. Jael alishafuta ile kauli yake ila yeye bado kashikilia hapo hapo daah sijui kama kuna dalili za kutumiwa picha hapa mwee.Aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Oneni huu utetezi[emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzi gani huo nikaangalie?Teh teh bora hata mimi. Halafu usitake nikuambie alichosema bujibuji kuhusu wanawake wa ileje haki ile comment nilicheka hadi niliscreenshot sema nilishafuta picha nikasema tu anne akipita hapa akaona huu utakuwa ni utani wa ngumi.
Tena alikuwa anajibu comment ya mtu ambaye alitusifia wanawake wa kyela
Mimi nilishachoka kumuomba.Ndiyo utetezi wake siku zote. Jael alishafuta ile kauli yake ila yeye bado kashikilia hapo hapo daah sijui kama kuna dalili za kutumiwa picha hapa mwee.
Teh teh bora hata mimi. Halafu usitake nikuambie alichosema bujibuji kuhusu wanawake wa ileje haki ile comment nilicheka hadi niliscreenshot sema nilishafuta picha nikasema tu anne akipita hapa akaona huu utakuwa ni utani wa ngumi.
Tena alikuwa anajibu comment ya mtu ambaye alitusifia wanawake wa kyela
Endeleeni kumtazamia BwanaNdiyo utetezi wake siku zote. Jael alishafuta ile kauli yake ila yeye bado kashikilia hapo hapo daah sijui kama kuna dalili za kutumiwa picha hapa mwee.
Mimi nilishachoka kumuomba.
Komaeni tu nyie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Endeleeni kumtazamia Bwana
Hiyo namba mbili tupo pamoja mi baaada ya whatsap hasa kwa ajili habar za family ba kazi tu ni jf sina kingine labda netflix naunga kwenye smartv tu kuangalia movieWakuu,
Kuna vitu katika maisha ambavyo ni kawaida kufanywa na watu kila Siku,lakini inawezekana kwa wengine wakawa hawajawahi kufanya kabisa.
Sababu inaweza kuwa kutopenda,kukosa muda,sababu za kiimani nk.
Nikianza na mimi:
1. Sijawahi kabisa kutengeneza juisi ya matunda (Shalubati) katika maisha yangu, pamoja na kwamba huwa natumia ila ni ile iliyotengenezwa na wengine.
2. Sina kabisa akaunti kwenye mitandao maarufu hii mitatu ya Facebook, Instagram na Twitter, habari nyingi napata JF na vyanzo vingine.
Je, wewe ni kitu gani ambacho wengine huona ni cha kawaida kufanya ila kwa upande wako hujawai kufanya?
Barua kwakoHahaha sio kwa kunikomalia huku
Hata jina lake nimesahau mie naikumbuka ile comment tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzi gani huo nikaangalie?
Ngoja nikumbuke jina la ule uzi nikaitafute hiyo commentJamani naomba unitag kwa hiyo comment
Daah jamani [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Endeleeni kumtazamia Bwana
Kwanini uliifuta mwee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata jina lake nimesahau mie naikumbuka ile comment tu
Ilifika kipindi niliona ni unnecessaryKwanini uliifuta mwee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata Mimi ukipita muda nafuta pichapicha ambazo si za muhimuIlifika kipindi niliona ni unnecessary