Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Yaani unanisingizia naona kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila sasahivi nimekuwa mtakatifu sana kwenye ule Uzi tangu maajabu yanikute
Teh teh bora hata mimi. Halafu usitake nikuambie alichosema bujibuji kuhusu wanawake wa ileje haki ile comment nilicheka hadi niliscreenshot sema nilishafuta picha nikasema tu anne akipita hapa akaona huu utakuwa ni utani wa ngumi.

Tena alikuwa anajibu comment ya mtu ambaye alitusifia wanawake wa kyela
 
Teh teh bora hata mimi. Halafu usitake nikuambie alichosema bujibuji kuhusu wanawake wa ileje haki ile comment nilicheka hadi niliscreenshot sema nilishafuta picha nikasema tu anne akipita hapa akaona huu utakuwa ni utani wa ngumi.

Tena alikuwa anajibu comment ya mtu ambaye alitusifia wanawake wa kyela
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzi gani huo nikaangalie?
 
Jamani naomba unitag kwa hiyo comment
Teh teh bora hata mimi. Halafu usitake nikuambie alichosema bujibuji kuhusu wanawake wa ileje haki ile comment nilicheka hadi niliscreenshot sema nilishafuta picha nikasema tu anne akipita hapa akaona huu utakuwa ni utani wa ngumi.

Tena alikuwa anajibu comment ya mtu ambaye alitusifia wanawake wa kyela
 
Wakuu,

Kuna vitu katika maisha ambavyo ni kawaida kufanywa na watu kila Siku,lakini inawezekana kwa wengine wakawa hawajawahi kufanya kabisa.

Sababu inaweza kuwa kutopenda,kukosa muda,sababu za kiimani nk.

Nikianza na mimi:

1. Sijawahi kabisa kutengeneza juisi ya matunda (Shalubati) katika maisha yangu, pamoja na kwamba huwa natumia ila ni ile iliyotengenezwa na wengine.

2. Sina kabisa akaunti kwenye mitandao maarufu hii mitatu ya Facebook, Instagram na Twitter, habari nyingi napata JF na vyanzo vingine.

Je, wewe ni kitu gani ambacho wengine huona ni cha kawaida kufanya ila kwa upande wako hujawai kufanya?

Hiyo namba mbili tupo pamoja mi baaada ya whatsap hasa kwa ajili habar za family ba kazi tu ni jf sina kingine labda netflix naunga kwenye smartv tu kuangalia movie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha sio kwa kunikomalia huku
Barua kwako

Mpendwa wangu Heaven Sent, natumai u mzima wa afya tele na ninamshukuru Mungu nami ni mzima pia.

Dhumuni la kuandika barua hii, ni kukuomba kwa heshima na taadhima busara na hekima tafadhali sana naomba unitumie picha yako.

Ni matumaini yangu kuwa ombi langu litakubaliwa, natanguliza shukurani zangu za dhati kabisa.

Wako mtiifu
Zoë
 
Back
Top Bottom