Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Hhahaha
Barua yako imekopelewa na inafanyiwa kazi. Uwe mvumilivu lol
 
Hhahaha
Barua yako imekopelewa na inafanyiwa kazi. Uwe mvumilivu lol
Daah kweli itabidi nivishwe taji au nipewe tuzo ya huu uvumilivu maana ni zaidi ya miezi sita sasa tangu mwaka jana november

Ila haina shida nitaendelea kuvumilia tu dada
 
Bangi kwa kiko?si unadata fasta
Hata siku moja, unakuwa kawaida tu, kuna sehemu tulikuwa tunavuta kwa kutumia zile pembe za wanyama pori. Mzigo unajazwa mle then mwisho wa pembe kuna tundu imetobolewa kwa ajili ya kuvutia. [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Aisee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aiseee[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Mbona alituonea sana jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli hata mimi sijui aliwaza nini, nilicheka hapo majogoo ya kuchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…