Leonardchama7
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,963
- 4,027
Nikili tu huwa namkosea mwenza wangu,ila sijawahi kumuomba msamaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HhahahaBarua kwako
Mpendwa wangu Heaven Sent, natumai u mzima wa afya tele na ninamshukuru Mungu nami ni mzima pia.
Dhumuni la kuandika barua hii, ni kukuomba kwa heshima na taadhima busara na hekima tafadhali sana naomba unitumie picha yako.
Ni matumaini yangu kuwa ombi langu litakubaliwa, natanguliza shukurani zangu za dhati kabisa.
Wako mtiifu
Zoë
Daah kweli itabidi nivishwe taji au nipewe tuzo ya huu uvumilivu maana ni zaidi ya miezi sita sasa tangu mwaka jana novemberHhahaha
Barua yako imekopelewa na inafanyiwa kazi. Uwe mvumilivu lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aiseee[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Pamoja mkuuHiyo namba mbili tupo pamoja mi baaada ya whatsap hasa kwa ajili habar za family ba kazi tu ni jf sina kingine labda netflix naunga kwenye smartv tu kuangalia movie
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aiseee[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Mbona alituonea sana jamani
Hata siku moja, unakuwa kawaida tu, kuna sehemu tulikuwa tunavuta kwa kutumia zile pembe za wanyama pori. Mzigo unajazwa mle then mwisho wa pembe kuna tundu imetobolewa kwa ajili ya kuvutia. [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]Bangi kwa kiko?si unadata fasta
AiseeHata siku moja, unakuwa kawaida tu, kuna sehemu tulikuwa tunavuta kwa kutumia zile pembe za wanyama pori. Mzigo unajazwa mle then mwisho wa pembe kuna tundu imetobolewa kwa ajili ya kuvutia. [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amejua kuwaonea mbona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli hata mimi sijui aliwaza nini, nilicheka hapo majogoo ya kuchi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aiseee[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Mbona alituonea sana jamani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani jamani watu wana tabia mbayaHahhahahq haki nimecheka hadi basi. Sio kwa kukakamaa huko
Hivi majogoo ya kuchi ndio yapi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli hata mimi sijui aliwaza nini, nilicheka hapo majogoo ya kuchi.