Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Barua kwako

Mpendwa wangu Heaven Sent, natumai u mzima wa afya tele na ninamshukuru Mungu nami ni mzima pia.

Dhumuni la kuandika barua hii, ni kukuomba kwa heshima na taadhima busara na hekima tafadhali sana naomba unitumie picha yako.

Ni matumaini yangu kuwa ombi langu litakubaliwa, natanguliza shukurani zangu za dhati kabisa.

Wako mtiifu
Zoë
Hhahaha
Barua yako imekopelewa na inafanyiwa kazi. Uwe mvumilivu lol
 
Hhahaha
Barua yako imekopelewa na inafanyiwa kazi. Uwe mvumilivu lol
Daah kweli itabidi nivishwe taji au nipewe tuzo ya huu uvumilivu maana ni zaidi ya miezi sita sasa tangu mwaka jana november

Ila haina shida nitaendelea kuvumilia tu dada
 
Cc Saint Anne Heaven Sent
Hiyo hapo nimeiscreenshot tena
20200609_234247.jpg
 
Bangi kwa kiko?si unadata fasta
Hata siku moja, unakuwa kawaida tu, kuna sehemu tulikuwa tunavuta kwa kutumia zile pembe za wanyama pori. Mzigo unajazwa mle then mwisho wa pembe kuna tundu imetobolewa kwa ajili ya kuvutia. [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Hata siku moja, unakuwa kawaida tu, kuna sehemu tulikuwa tunavuta kwa kutumia zile pembe za wanyama pori. Mzigo unajazwa mle then mwisho wa pembe kuna tundu imetobolewa kwa ajili ya kuvutia. [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Aisee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aiseee[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Mbona alituonea sana jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli hata mimi sijui aliwaza nini, nilicheka hapo majogoo ya kuchi.
 
Back
Top Bottom