Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Sijawahi kufanya settings kwenye simu yangu zaidi ya kurekebisha tarehe na saa. Nikinunua simu ni mwendo wa kupachika line na kuanza kutumia tu settings za manufacturer [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…