Jaluo_Nyeupe
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 2,824
- 2,264
Yaan sipendi ugomviHahaa,unaonekana mpole sana,ila ni vizuri kuepuka shari
Kuachwa kwenye mahusianoKuachwa na nani?
Nilishawahi kuacha na sio mara moja labda ni kwa sababu sijawahi kupenda, huwa napendwa tuHahaaa, kwahio huwa unawawahi kabla au uliyempata ndio huyo hamjaachana?
Nilipo kila siku Ni mchanaHii ngumu kuamini
Watu wanakunywa ile inaitwa kifutio, waijua?Sijawahi kwenda ata kwa bahati mbaya, pombe ata kifuniko kimoja sijawahi kuonja.
LikewiseHapa nilikuwa najiuliza ni nini at least umenionesha. Sijawahi fanya birthday party wala hata kukata keki yenye jina langu. Poor me [emoji16]
Hongera kwa kujiepusha na pombe!
Umeokoka?Sijawahi kuwa mdau wa siasa kwenda club na kunywa pombe.
We utakua mtu wa Dodoma jangwaniSijawahi kuogelea. Lol