Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Sijawahi kupigana wala kugombana/kurushiana maneno na sitowahi[emoji1545]

Ahante/nisamehe usiponielewa nakupotezea[emoji1476]
Kuna mazingira furani lazima uchapane ngumi ili kulinda heshima yako.
Kama unaogopa kupigwa kwakuwa una maumbile madogo basi nenda Gym ukajaze misuli ili umchape mtu[emoji23]
 
Kunywa pombe, kuvuta sigara au bangi kuwa na wanawake wengi siwezi kabisa.
Hongera,hivyo vyote ni vishawishi vikuu vya dhambi nyingine ambatanishi
Wizi,
Ugomvi,
Uzinzi
Kuua nk
 
Kuna mazingira furani lazima uchapane ngumi ili kulinda heshima yako.
Kama unaogopa kupigwa kwakuwa una maumbile madogo basi nenda Gym ukajaze misuli ili umchape mtu[emoji23]
Mmmmmh ankali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…