Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,399
- 8,629
itabidi tujitahidi mwaka huu usipite bila bilaLikewise
Kuna mazingira furani lazima uchapane ngumi ili kulinda heshima yako.Sijawahi kupigana wala kugombana/kurushiana maneno na sitowahi[emoji1545]
Ahante/nisamehe usiponielewa nakupotezea[emoji1476]
Ulitema?Kahawa nilifikiri huwa wanaweka sukari,kuna siku nimekaa kijiwe chao wakaniagizia,aisee ni chungu sijui wanawezaje
Kutoboa au kutoga kwa mwanamke mmmh.[emoji849][emoji849]Sijawahi kutoboa sikio na kuvaa hereni,na haitotokea katu kutoboa sikio
Hata sijui nasikiaga tu watu wanakula mzigo.....Mzigo gani?
Hivo vyote sina uzinzi kwa mbali hahah.Hongera,hivyo vyote ni vishawishi vikuu vya dhambi nyingine ambatanishi
Wizi,
Ugomvi,
Uzinzi
Kuua nk
Mimi sijawahi kata pia.We are in this together bro, usijiskie mpweke😂 japo me keki nilikata mara moja tu.
Duuh! Huyu ni mimi..Sijawahi kupigana..Wala kurushiana maneno na mtu hasa ile live.
Sijawahi Kufanya birthday.
Mmmmmh ankaliKuna mazingira furani lazima uchapane ngumi ili kulinda heshima yako.
Kama unaogopa kupigwa kwakuwa una maumbile madogo basi nenda Gym ukajaze misuli ili umchape mtu[emoji23]
Hapana,huo hjasiri sinaKutoboa au kutoga kwa mwanamke mmmh.[emoji849][emoji849]
Toboa ankali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmmmmh ankali
Ndogo je? Nayo hujawahi. Kuwa mkweliPombe!, daah hii kitu bado aisee ila...!!!🤔