Huyo jamaa yangu mmoja ndo huwa ananiambia nikivuta ndio nitafikiria zaidi lakini hapana kiukweli. Nivute halafu iwe bahati yangu kuwehuka siwezi πKweli wanainasibisha na uhuni, ila ukijiwekea kwa wiki unapiga hata stick moja tu, hakika utakua mwenye akili kubwa, nguvu nyingi na afya tele.
[emoji1][emoji1]
Sema si unajua kwa bongo inavyoonekana. Halafu nikivuta nikapata ujasiri kupitiliza sijui nani atakuwa victim π. Kheri niione si ya kawaidaNikitu cha kawaida mkuu .. Hauoni kuwa kuna nchi zilizo endelea zimeiruhusu
sipaweziNitakupeleka
kwahiyo sikuhizi huendi?Kwenda club ilikuwaga ndio Hobie yangu kubwa when i was under 22.ila pombe sigara bangi hivi vitu sijawahi vitumia
Utaenda na mimi. Eti?sipawezi
πππmimi nachukulia kupiga kura ni kitu kisicho cha kawaidaKupiga kura,
ukisema unanipeleka mimi ni nani hata nikataeUtaenda na mimi. Eti?
Kwanza hata lile wazo tu huwaga sina.πππmimi nachukulia kupiga kura ni kitu kisicho cha kawaida
Nakuja pm kukuelewesha. Utakaa VIP lazima upaweze. Tatizo ukisikia Club unadhani ni kwenda kulewa na kuchez mziki. Kuna VIP mamam tukitok huko nkupeleka Casinosipawezi
nimeacha kitambo sana since 2013kwahiyo sikuhizi huendi?
kumbe tunafanana katika hiliππKuendesha pikipiki na kupanda siwezi kabisa hii siwezi kabisa hata kwa bunduki
Nakuja pm kukuelewesha. Utakaa VIP lazima upaweze. Tatizo ukisikia Club unadhani ni kwenda kulewa na kuchez mziki. Kuna VIP mamam tukitok huko nkupeleka Casino
πππsijawahi kushiriki huo mchakato kabisaKwanza hata lile wazo tu huwaga sina.
πππNishakuelewa