Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Sijawahi kwenda shule kwa wakati.
Yaani shule ifungue Leo halafu Mimi niende Leo hiyohiyo.
Sijawahi.. Kuna namna tu lazima nivute.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nitakupandisha tu siku moja
Mimi huyu?
Walahi siwezi elea kwenye maji.

Halafu kuna ule mtindo Watu wapo gorofani wanasimama kwenye machuma ya pembeni wanachungulia chini,au wakaegemea kwenye Yale machuma..
Yaani katika vitu siji kufanya ni Hiki..bora nikaogelee
 
Uwiii!! Hadi dada yako nimekushinda mana kimtaani mtaani nliwahi kupigana na mvulana kipindi hicho niko mdogo wee alinidunda nakumbuka kulikuwa na mtaro mdogo tu pembeni akanidumbukiza humo nikaanza kulia hadi dada zangu wakaja kunitowa mana sikupigana tena ikabakia nalia tu huku huyo mvulana ananisubiria kwa juu nitoke aniongeze.

Ila toka hapo sijawahi kupigana mana nikawa mwoga hadi kwa wanawake wenzangu kwa hofu nikipigana nao watanipiga. 😅😅
Ngoja nicheke tu😂😂😂
 
[emoji23][emoji23] Basi ingekua safi tungejua huenda Kuna vi-element vngine tunafanana
Ni pm
Secondary ilikuwa ukichelewa unaenda kupata adhabu lakini Mimi sijawahi kuwahi hata siku moja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Secondary ilikuwa ukichelewa unaenda kupata adhabu lakini Mimi sijawahi kuwahi hata siku moja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3] you have guts Saint Anne
Kuna watu walikua na wenge Sana enzi za secondary schools one week before tayali wapo skuli
Pm me
 
Back
Top Bottom