The Happiness
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 6,989
- 45,411
😂😂 Walahy hufai weweSasa hiyo ndoo utabebea wapi wakati kwenu maji yapo.... wash disher jikon shower bafuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 Walahy hufai weweSasa hiyo ndoo utabebea wapi wakati kwenu maji yapo.... wash disher jikon shower bafuni
Nipe wee nitaenda kuvuniapo mpunga (in nyakyusa voice)Nina zawadi yako ya suruali za mtoko
Umemmisi kwa lipi jipya labdaSalama tu. Haki ya nani nimekumiss umepotea sana.
Unakosa uhondoAisee[emoji848][emoji848][emoji848] mi labda kunywa pombe na kwenda club ndo sijawahi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimemmiss vituko vyake vya kule kwenye kuselfika. Tatizo wewe uligoma kabisa kuwa mwanachama kule.
Nitatupia nini kule jamani mwehNimemmiss vituko vyake vya kule kwenye kuselfika. Tatizo wewe uligoma kabisa kuwa mwanachama kule.
Unakosa uhondo
Hata kama usipotupia si unakuwa unapiga soga tu. Siyo lazima utupie picha unaweza kuwa mwanachama hata kwa kupiga soga tu.
Hapo ndio panaboa sasa, nina uhakika na wengine wanaboreka pia. Uzi wa picha wanyakyusa mnapiga soga hivi mtabadilika lini nyie?Hata kama usipotupia si unakuwa unapiga soga tu. Siyo lazima utupie picha unaweza kuwa mwanachama hata kwa kupiga soga tu.
Tena kama huyo HS yeye mwenyewe tu hajawahi kutupia picha yake hata moja hata kwa bahati mbaya. Alikuwa anachat tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi dada bila kuhusisha haya mambo na makabila huwa haujisikii vizuri ehHapo ndio panaboa sasa, nina uhakika na wengine wanaboreka pia. Uzi wa picha wanyakyusa mnapiga soga hivi mtabadilika lini nyie?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo ndio panaboa sasa, nina uhakika na wengine wanaboreka pia. Uzi wa picha wanyakyusa mnapiga soga hivi mtabadilika lini nyie?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pambana na hali yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi dada bila kuhusisha haya mambo na makabila huwa haujisikii vizuri eh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] teh teh yaani wewe ndiyo wa kunicheka mimi au umeshajisahaulisha kabila lakoPambana na hali yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uliona wapi kabila langu tunapiga soga kule Kwenye Uzi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] teh teh yaani wewe ndiyo wa kunicheka mimi au umeshajisahaulisha kabila lako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] huwa nahusha makabila mawili tu usinisingizie, unatakiwa ujiulize Tanzania tuna makabila zaidi ya 120 kwa nini kila siku mtajwe ninyi tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi dada bila kuhusisha haya mambo na makabila huwa haujisikii vizuri eh
Wamezidi hao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huwa nahusha makabila mawili tu usinisingizie, unatakiwa ujiulize Tanzania tuna makabila zaidi ya 120 kwa nini kila siku mtajwe ninyi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Missing you too swts. Afu me nipo humu daily ujue; though kuna muda napita kimya kimyaSalama tu. Haki ya nani nimekumiss umepotea sana.