Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilipo kuna mahitaji yote nnayoyataka kwa sasaAisee,hongera,umewezaje yote haya?Hasa hili za kutokwenda Dar?maana kuna mahitaji fulani yanakulazim kwenda huko
mimi nilikuelewa kule juu...ambao wengi walikua hawakuelewi
let's try..u won't regretsSijawah kufanya groupsex
Vipi kuhusu NIAMBIE, umewah tuma text ya hivyo?sijawai mpgia mtu simu nimwambie NILIKUA NAKUSALIMIA
hahhahahahaah inanikera hyo nambie....anakutext mtu anakuambia niambie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hua sijibu.....twende kwenye mada moja kwa moja umenitext sawaVipi kuhusu NIAMBIE, umewah tuma text ya hivyo?
🤣🤣🤣🤣🤣hahhahahahaah inanikera hyo nambie....anakutext mtu anakuambia niambie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hua sijibu.....twende kwenye mada moja kwa moja umenitext sawa
tuchart kuhusu nn?? kama mapenz tuongelee mapenz yetu..kama bolu tuongelee bolu.......mdada akinitext mambo nafarijika sio kidume kizima with two ballz ananitext MAMBO
lenie mwanaume mwenzangu anitext Mambo....yani mambo tuu bora aseme hata ww bwege mambo vipi......sio anakutext mambo then anakausha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitaogopa sana nitampgia nimuulize shida nn??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inaboa sana, mwenyew text ya hivyo sijibu kwakweli mtu utajiongeza mwenyewe.
Kama huna story sio lazima kuchat, kuliko kumtumia mtu NIAMBIE[emoji23]
Kwahyo mkaka akikutext mambo hujibu?[emoji1787]
uambiwa nini??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inaboa sana, mwenyew text ya hivyo sijibu kwakweli mtu utajiongeza mwenyewe.
Kama huna story sio lazima kuchat, kuliko kumtumia mtu NIAMBIE[emoji23]
Kwahyo mkaka akikutext mambo hujibu?[emoji1787]
🤣🤣🤣🤣 nyie wanaume mnafurahisha sanalenie mwanaume mwenzangu anitext Mambo....yani mambo tuu bora aseme hata ww bwege mambo vipi......sio anakutext mambo then anakausha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitaogopa sana nitampgia nimuulize shida nn??
akinipa jibu halieleweki namblock......yani et anakutext G mambo aisee
Hahaaauambiwa nini??
mtu akikutext nambie mwambie Magu amefariki tuendelee kumuombea
huwezi mwanaume mwenzako ukamwambia mambo......mimi nitaogopa na dunia hii ilivyo mtu anakutext mambo halafu mwanaume......[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyie wanaume mnafurahisha sana
Utahisi anaanza mambo ya sodoma na gomora sio[emoji23][emoji23]
hahahhaha kwahyo jinsia yoyote ikikutext mambo hutaki?Hahaaa
Kweli bana mtu andika ujumbe full wa kueleweka, sio kuanza niambie mara mambo mnajikuta mnapoteza muda kusalimiana salamu mia mia half hamna cha maana
Mambo ikitoka kwetu hapo unafrahiaaaa, unatamani uchati na mtoto mzuri siku nzima eeh😁huwezi mwanaume mwenzako ukamwambia mambo......mimi nitaogopa na dunia hii ilivyo mtu anakutext mambo halafu mwanaume......
katext kakitoka kwa yule manz unayemfukuzia anakutext mambo[emoji8][emoji8][emoji8][emoji39][emoji39][emoji39][emoji7][emoji7]...aisee
Nitext mambo then andika na jambo lako hapo ndio tuanze kuchathahahhaha kwahyo jinsia yoyote ikikutext mambo hutaki?
hahahahhahaha hata imagine....kuna kale katabia mtoto mzuri unamtext mambo anakujibu poa....Mambo ikitoka kwetu hapo unafrahiaaaa, unatamani uchati na mtoto mzuri siku nzima eeh[emoji16]
mamboNitext mambo then andika na jambo lako hapo ndio tuanze kuchat
Vipi umemtext mambo akajibu sipo poa... Hua unaendelea au unazima simu ghafla😃hahahahhahaha hata imagine....kuna kale katabia mtoto mzuri unamtext mambo anakujibu poa....
aisee tunaishiwaga mood....inafaa ukimtext mambo akujibu poa vp mzima?...kuliko anakujibu kavu POA
Inauma