Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Vipi kuhusu NIAMBIE, umewah tuma text ya hivyo?
hahhahahahaah inanikera hyo nambie....anakutext mtu anakuambia niambie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hua sijibu.....twende kwenye mada moja kwa moja umenitext sawa


tuchart kuhusu nn?? kama mapenz tuongelee mapenz yetu..kama bolu tuongelee bolu.......mdada akinitext mambo nafarijika sio kidume kizima with two ballz ananitext MAMBO
 
hahhahahahaah inanikera hyo nambie....anakutext mtu anakuambia niambie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hua sijibu.....twende kwenye mada moja kwa moja umenitext sawa


tuchart kuhusu nn?? kama mapenz tuongelee mapenz yetu..kama bolu tuongelee bolu.......mdada akinitext mambo nafarijika sio kidume kizima with two ballz ananitext MAMBO
🤣🤣🤣🤣🤣
Inaboa sana, mwenyew text ya hivyo sijibu kwakweli mtu utajiongeza mwenyewe.

Kama huna story sio lazima kuchat, kuliko kumtumia mtu NIAMBIE😂

Kwahyo mkaka akikutext mambo hujibu?🤣
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inaboa sana, mwenyew text ya hivyo sijibu kwakweli mtu utajiongeza mwenyewe.

Kama huna story sio lazima kuchat, kuliko kumtumia mtu NIAMBIE[emoji23]

Kwahyo mkaka akikutext mambo hujibu?[emoji1787]
lenie mwanaume mwenzangu anitext Mambo....yani mambo tuu bora aseme hata ww bwege mambo vipi......sio anakutext mambo then anakausha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitaogopa sana nitampgia nimuulize shida nn??

akinipa jibu halieleweki namblock......yani et anakutext G mambo aisee
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inaboa sana, mwenyew text ya hivyo sijibu kwakweli mtu utajiongeza mwenyewe.

Kama huna story sio lazima kuchat, kuliko kumtumia mtu NIAMBIE[emoji23]

Kwahyo mkaka akikutext mambo hujibu?[emoji1787]
uambiwa nini??


mtu akikutext nambie mwambie Magu amefariki tuendelee kumuombea
 
lenie mwanaume mwenzangu anitext Mambo....yani mambo tuu bora aseme hata ww bwege mambo vipi......sio anakutext mambo then anakausha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitaogopa sana nitampgia nimuulize shida nn??

akinipa jibu halieleweki namblock......yani et anakutext G mambo aisee
🤣🤣🤣🤣 nyie wanaume mnafurahisha sana

Utahisi anaanza mambo ya sodoma na gomora sio😂😂
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyie wanaume mnafurahisha sana

Utahisi anaanza mambo ya sodoma na gomora sio[emoji23][emoji23]
huwezi mwanaume mwenzako ukamwambia mambo......mimi nitaogopa na dunia hii ilivyo mtu anakutext mambo halafu mwanaume......

katext kakitoka kwa yule manz unayemfukuzia anakutext mambo[emoji8][emoji8][emoji8][emoji39][emoji39][emoji39][emoji7][emoji7]...aisee
 
Hahaaa

Kweli bana mtu andika ujumbe full wa kueleweka, sio kuanza niambie mara mambo mnajikuta mnapoteza muda kusalimiana salamu mia mia half hamna cha maana
hahahhaha kwahyo jinsia yoyote ikikutext mambo hutaki?
 
Sijawahi kusafiri kwa Regional Buses hata kama naenda mkoa wa mbali kiasi gan.

Sijawah kupanda lift za ghorofa.

Sijawah kufanya mapenzi bila kumpima mwanamke damu.

Sijawahi kuvaa chain shingoni

Sijawah kutapeliwa

Sijawahi kununua dada poa.

Sijawahi kumiliki wallet

Sijawah kwenda gym.

Sijawahi kabisa
 
huwezi mwanaume mwenzako ukamwambia mambo......mimi nitaogopa na dunia hii ilivyo mtu anakutext mambo halafu mwanaume......

katext kakitoka kwa yule manz unayemfukuzia anakutext mambo[emoji8][emoji8][emoji8][emoji39][emoji39][emoji39][emoji7][emoji7]...aisee
Mambo ikitoka kwetu hapo unafrahiaaaa, unatamani uchati na mtoto mzuri siku nzima eeh😁
 
Mambo ikitoka kwetu hapo unafrahiaaaa, unatamani uchati na mtoto mzuri siku nzima eeh[emoji16]
hahahahhahaha hata imagine....kuna kale katabia mtoto mzuri unamtext mambo anakujibu poa....


aisee tunaishiwaga mood....inafaa ukimtext mambo akujibu poa vp mzima?...kuliko anakujibu kavu POA


Inauma
 
hahahahhahaha hata imagine....kuna kale katabia mtoto mzuri unamtext mambo anakujibu poa....


aisee tunaishiwaga mood....inafaa ukimtext mambo akujibu poa vp mzima?...kuliko anakujibu kavu POA


Inauma
Vipi umemtext mambo akajibu sipo poa... Hua unaendelea au unazima simu ghafla😃
 
Back
Top Bottom