Kitu gani cha ovyo unakipenda sana

Kitu gani cha ovyo unakipenda sana

Wali wenye ukoko wa baridi mixer maharage ya moto,na chai asub!

Na utu uzima huu, msosi uwa naufuat kwenye sufuria ili nipate wenye ukoko,sifunui hotpot.
 
Mimi napenda Sana maandazi ya Moto,

Yaani hata baby wangu akiniuliza unataka nini swetie huwa natamani anikaangie maandazi ya Nazi ya Moto sema ndo hivo ni kauzu balaa labda anichemshie mawe.

Yaani hata mtu akiniambia miss njoo home napika maandazi naweza kumfata.hii kitu inaweza nifanya niliwe kimasikhara jameni.
Kutazama mwanamke alie uchi!
 
Umetaja andazi akili imekumbuka jambo la ajabu,

Huwa sipendi andazi la siku hiyo hiyo, napenda andazi lililolala, wauza maandazi huwa wananishangaa mnoo, nikifika naulizia andazi la jana, kama hawanijui wanaona kama nawadhihaki vile, wanaonijua yakilala huwa wananishitua mpaka kwa simu.
Kusikia anguko la kiuchumi kwa mtu ninaye mfahamu
 
Napenda kiporo cha chipsi ninywe na chai asubuhi, nakawaida nazinununua usiku nazilaza kwenye fridge asubuhi napasha nakula😅😅😅
Marehemu baba angu nae alikuwa anapenda sana chips zilizolala.
 
Kutafuna vitu vya plastiki kama peni na vifuniko vya soda za take away... Yaani nikinywa soda, chupa natupa ila kizibo nabaki nacho ili nitafune
WhatsApp Image 2025-01-07 at 13.07.34.jpeg
 
Back
Top Bottom