Kitu gani cha ovyo unakipenda sana

Kitu gani cha ovyo unakipenda sana

Mimi napenda Sana maandazi ya Moto,

Yaani hata baby wangu akiniuliza unataka nini swetie huwa natamani anikaangie maandazi ya Nazi ya Moto sema ndo hivo ni kauzu balaa labda anichemshie mawe.

Yaani hata mtu akiniambia miss njoo home napika maandazi naweza kumfata.hii kitu inaweza nifanya niliwe kimasikhara jameni.
Sasa kichwa cha habari kinasema 'kupenda kitu cha ovyo'!

Kwa hiyo chakula kwako ni kitu cha ovyo?
 
Mimi napenda Sana maandazi ya Moto,

Yaani hata baby wangu akiniuliza unataka nini swetie huwa natamani anikaangie maandazi ya Nazi ya Moto sema ndo hivo ni kauzu balaa labda anichemshie mawe.

Yaani hata mtu akiniambia miss njoo home napika maandazi naweza kumfata.hii kitu inaweza nifanya niliwe kimasikhara jameni.
Masterbation(punyeto).
Japo hiki siyo kitu cha hovyo.
 
Kuangalia mguu mweupe wenye kikuku.
Kutazama kiuno chenye shanga au cheni
 
Napenda kiporo cha chipsi ninywe na chai asubuhi, nakawaida nazinununua usiku nazilaza kwenye fridge asubuhi napasha nakula😅😅😅
Hiki kitu kweli ni cha ajabu. Na jana nimeshangaa sana ,nikiwa kariakoo napata breakfast mgahawa mmoja karibu nca China plaza nikaona mzee mmoja anakunywa chai na Chips. 😂😂.
Nikashangaa sana
 
Hiki kitu kweli ni cha ajabu. Na jana nimeshangaa sana ,nikiwa kariakoo napata breakfast mgahawa mmoja karibu nca China plaza nikaona mzee mmoja anakunywa chai na Chips. 😂😂.
Nikashangaa sana
😅😅😅😅
 
Mimi napenda Sana maandazi ya Moto,

Yaani hata baby wangu akiniuliza unataka nini swetie huwa natamani anikaangie maandazi ya Nazi ya Moto sema ndo hivo ni kauzu balaa labda anichemshie mawe.

Yaani hata mtu akiniambia miss njoo home napika maandazi naweza kumfata.hii kitu inaweza nifanya niliwe kimasikhara jameni.
We sema hii kitu ilishafanya uliwe. Tena mara nyingi tuu. Teh teh teh teh
 
Mimi napenda Sana maandazi ya Moto,

Yaani hata baby wangu akiniuliza unataka nini swetie huwa natamani anikaangie maandazi ya Nazi ya Moto sema ndo hivo ni kauzu balaa labda anichemshie mawe.

Yaani hata mtu akiniambia miss njoo home napika maandazi naweza kumfata.hii kitu inaweza nifanya niliwe kimasikhara jameni.
Hahahaha
Mandazi ni kitu cha ovyo...??
Acha kufananisha mandazi na vitu vya ovyo..
 
Mimi napenda Sana maandazi ya Moto,

Yaani hata baby wangu akiniuliza unataka nini swetie huwa natamani anikaangie maandazi ya Nazi ya Moto sema ndo hivo ni kauzu balaa labda anichemshie mawe.

Yaani hata mtu akiniambia miss njoo home napika maandazi naweza kumfata.hii kitu inaweza nifanya niliwe kimasikhara jameni.
Njoo nikupikie
 
Mimi napenda Sana maandazi ya Moto,

Yaani hata baby wangu akiniuliza unataka nini swetie huwa natamani anikaangie maandazi ya Nazi ya Moto sema ndo hivo ni kauzu balaa labda anichemshie mawe.

Yaani hata mtu akiniambia miss njoo home napika maandazi naweza kumfata.hii kitu inaweza nifanya niliwe kimasikhara jameni.
Ashua za nguku
 
Back
Top Bottom