Kitu gani cha ovyo unakipenda sana

Kitu gani cha ovyo unakipenda sana

Umetaja andazi akili imekumbuka jambo la ajabu,

Huwa sipendi andazi la siku hiyo hiyo, napenda andazi lililolala, wauza maandazi huwa wananishangaa mnoo, nikifika naulizia andazi la jana, kama hawanijui wanaona kama nawadhihaki vile, wanaonijua yakilala huwa wananishitua mpaka kwa simu.
 
Mi napendaga sana harufu ya udongo Mkavu pale unapoanza kunyeshewa na mvua ya ghafla, natamani hata niutafune huo udongo, pia unga wa kukaangia maandazi au half cake (kinyumga/dough) huwa natamani niule, unanoga sana.
😅😅😅
 
Mimi napenda Sana maandazi ya Moto,

Yaani hata baby wangu akiniuliza unataka nini swetie huwa natamani anikaangie maandazi ya Nazi ya Moto sema ndo hivo ni kauzu balaa labda anichemshie mawe.

Yaani hata mtu akiniambia miss njoo home napika maandazi naweza kumfata.hii kitu inaweza nifanya niliwe kimasikhara jameni.
Me napenda sana nyonyo ndog ndog za madem zinazoshikika vzr zile, ziwe dede. Ni upuuzi kwakweli 😄
 
Mimi napenda Sana maandazi ya Moto,

Yaani hata baby wangu akiniuliza unataka nini swetie huwa natamani anikaangie maandazi ya Nazi ya Moto sema ndo hivo ni kauzu balaa labda anichemshie mawe.

Yaani hata mtu akiniambia miss njoo home napika maandazi naweza kumfata.hii kitu inaweza nifanya niliwe kimasikhara jameni.
Unajua kuyatayarisha na kukaanga? Unajua nilikuwa sijui kama kuna mandazi ya nazi. Hebu weka recipe yake unajua.
 
Back
Top Bottom