Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapenda jicho..a.k.a ndogo!To be honestly napenda Sana 👁️
Wewe unapenda kitonga saanaAsante sana mkwe ake😉
Nipo busy na uzi wa vocha
We unavyojihisi ndio.huyo adui yako anavyo jihisi kwa kujiona mjinga kuwa na uadui na mtu ambaye ata hana mda wa kumuoneshea chuki wala kinyongoKuna muda najisikia vibaya Sana....najiona mpuuzi eti
Yaan daahWe unavyojihisi ndio.huyo adui yako anavyo jihisi kwa kujiona mjinga kuwa na uadui na mtu ambaye ata hana mda wa kumuoneshea chuki wala kinyongo
Ahsante kwa kutusanua, kumbe gharama ni ndogo hivi[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi napenda Sana maandazi ya Moto
Yaani hata baby wangu akiniuliza unataka nini swetie huwa natamani anikaangie maandazi ya Nazi ya Moto sema ndo hivo ni kauzu balaa .labda anichemshie mawe .
Yaani hata mtu akiniambia miss njoo home napika maandazi naweza kumfata.hii kitu inaweza nifanya niliwe kimasikhara jameni.
Mkwe nishasogeaWewe unapenda kitonga saana
Sogea Kwa wakala
Hapa tupo pamoja ila mimi sichemshiNapenda kiporo cha chipsi ninywe na chai asubuhi, nakawaida nazinununua usiku nazilaza kwenye fridge asubuhi napasha nakula😅😅😅
Tuma locationNjoo gheto, ndo namalizia kukanda unga mixer nazi na hiliki....
AhaaaUlanzii!!
Yaan hapo hata niwe wapii, nikisikia hii kitu nauwashaa kuufata.
Ulanzi ninao na natamba nao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chama cha mapinduziMimi napenda Sana maandazi ya Moto,
Yaani hata baby wangu akiniuliza unataka nini swetie huwa natamani anikaangie maandazi ya Nazi ya Moto sema ndo hivo ni kauzu balaa labda anichemshie mawe.
Yaani hata mtu akiniambia miss njoo home napika maandazi naweza kumfata.hii kitu inaweza nifanya niliwe kimasikhara jameni.
Baikoko unaijua??Ulanzii!!
Yaan hapo hata niwe wapii, nikisikia hii kitu nauwashaa kuufata.
Ulanzi ninao na natamba nao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee mirinda ina nafasi yake Pekee mbinguniMirinda ya moto neno
.. solution...
M+i-i+a+rinda+ya moto=
Tuma jina na namba ya wakalaMkwe nishasogea
MamaaNapenda bangi kupitiliza 🤦♀️