Safi sanaKuzoa taka, kuzibua bafu, kufua chupi, ukiniambia tu kuna buku 3 hapa ya chap. Fasta nakuja.
NdioUmeona eeh ..
Wanabaq@ mada tu... ila tusiwaumu sana., tatizo limeanzia kwa mleta mada mwenyewe kusema maandazi ya moto ni kitu cha hovyo...Ndio
Kutazama mwanamke alie uchi!Mimi napenda Sana maandazi ya Moto,
Yaani hata baby wangu akiniuliza unataka nini swetie huwa natamani anikaangie maandazi ya Nazi ya Moto sema ndo hivo ni kauzu balaa labda anichemshie mawe.
Yaani hata mtu akiniambia miss njoo home napika maandazi naweza kumfata.hii kitu inaweza nifanya niliwe kimasikhara jameni.
Kusikia anguko la kiuchumi kwa mtu ninaye mfahamuUmetaja andazi akili imekumbuka jambo la ajabu,
Huwa sipendi andazi la siku hiyo hiyo, napenda andazi lililolala, wauza maandazi huwa wananishangaa mnoo, nikifika naulizia andazi la jana, kama hawanijui wanaona kama nawadhihaki vile, wanaonijua yakilala huwa wananishitua mpaka kwa simu.
Acha uchawiKusikia anguko la kiuchumi kwa mtu ninaye mfahamu
Marehemu baba angu nae alikuwa anapenda sana chips zilizolala.Napenda kiporo cha chipsi ninywe na chai asubuhi, nakawaida nazinununua usiku nazilaza kwenye fridge asubuhi napasha nakula😅😅😅