Mnyenz
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 2,933
- 8,112
𤣠babu alikua mjanja sana.Nyerere na shati la kijani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
𤣠babu alikua mjanja sana.Nyerere na shati la kijani
nataka nione muhindi mtanzania kuwa polisiWapo kwao india,ila mtanzania mwenye asili asia polisi wapo.
WapoMmasai kilema
Wapo wengiMmasai kilema
Nilikuwa nae alikuwa anakataaKuona mwanamke akakataa pesa ya mwanaume
WapoPolisi mjamzito
MwehuSijawahi kuona Meli ina indicator
KweliCcm ikitoa form nyingi ngazi ya urais 2025
na mtoto bubu nayo inatokana na kurithi vinasaba?Hizo mbili za mwanzo ziko sababu zake.
Kwanza Race ya kimasai wanaowana wenyewe kwa wenyewe ambao Ineonesha uingiliano wao hauna vinasaba vya kupata Albino... Kwa huu ukuaji wa Science swala la kupata Albino lipo kabisa ikiwa mmoja wenu au wote mna vinasaba vya Albino.. Ki ufupi ukipata Albino na ukifatilia ki undani kutoka kwako na kwa mwanamke hamna Jua umechapiwa(Ila uwe makini maana yaezekana kuna vizazi vingi vingi vyenu vilivyipota walikuwa nayo)
Lakini miaka ya zamani wamasai na jamii nyingine nyingi walikuwa wakiuwa watoto wenye ualbino wakiamini ni Laana
Pili kuwa na mwanajeshi Albino ndio hakuna kwasababu huo ni ulemavu kama ambavyo huwezi kuta mtu ambae ni kiwete ni mwanajeshi(Kazi ya jeshi kuna ukakamavu sasa ukisha kuwa Mlemavu wa jambo flani huwezi kukidhi vigezo)
š„Sijawahi kuona Samia na kikwete wakipenda uzalendoRaisi house girl .
Rais anaenda kitchen party kuchukua busara za kuongozea nchi.
Sawa chiziMwehu
Huyo tumuweke kwa museumNilikuwa nae alikuwa anakataa
Hata wamiliki wa jf!!!!Mwana JF yoyote tokea nimejiunga 2012...