The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Sijakuambia weweMie siyo bahiri
Mbona sijakujibu weweSijakuambia wewe
Hahaaaaaaa Hahahhaha asante ingekuwa Enzi za Mwalim ungenibebaje mzima mzimaMimi ninayo hizi za kisasa flat 55" full HD vipi upo tayari?
Ni kwelii Mkuu Sio uongoHaya ndio madhara ya kuthamini vitu badala ya utu,vitu hushuka thamani yake bali utu haushuki thamani yake.
hahahahaahahahNilihongwa TV ya chogo nimpe marinda, nikiangalia siku Hizi TV za chogo hazina issue nayawazia marindraaaa yanguuuuu.
Na ulimpa?Nilihongwa TV ya chogo nimpe marinda, nikiangalia siku Hizi TV za chogo hazina issue nayawazia marindraaaa yanguuuuu.
Wapi nimesema kua ni uongo?!Ni kwelii Mkuu Sio uongo