Vijana wenyewe wa humu Jf, ndio hao ambao tukiwazoza tunapanga kujiona, then wakituona wanatukimbia na kisha wanakuja kutuanzishia threads humu jamvini......tehteehhhMbona vijana wapo wengiii jamani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ila kuna watu mna dushe tamu duniani mbarikiwee
Acha tu siri yangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
TakooooHabari zenu jamani JF,
Niwaulize kitu wana ndugu: Ni kitu gani kikubwa ambacho uliwahi kuhonga/kuhongwa na mpenzi wako ambacho kamwe huwezi kukisahau?
Mimi nimewahi kuhonga vitu vya ndani yaani full house material na niliwahi kumkodia gari hawara yangu mwingine siku ya harusi yake sijui aliniroga? Nikikumbuka machozi yanatiririka maana nilikodi Range mbili na Costa 3.
Umenichekesha sana ndugu yanguAcha tu siri yangu
Yaan wewe kuna mwanaume humu kanikamata mpaka namsalimia shikamoo mme wangu ,,acha tuUmenichekesha sana ndugu yangu
Nawapenda sana watu kama nyie maana nikitoka huko kwenye mihangaiko ya kutafuta mkate wa siku nikiwa na stress zangu nikifungua JF basi huwa zinayeyuka kama nta kwenye jua. Safi sana.Mama Sabrina.Yaan wewe kuna mwanaume humu kanikamata mpaka namsalimia shikamoo mme wangu ,,acha tu
Zamani, ndio ilikuwa sawa....Nilihongwa TV ya chogo nimpe marinda, nikiangalia siku Hizi TV za chogo hazina issue nayawazia marindraaaa yanguuuuu.
Sawaa karibuNawapenda sana watu kama nyie maana nikitoka huko kwenye mihangaiko ya kutafuta mkate wa siku nikiwa na stress zangu nikifungua JF basi huwa zinayeyuka kama nta kwenye jua. Safi sana.Mama Sabrina.
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Nilihongwa TV ya chogo nimpe marinda, nikiangalia siku Hizi TV za chogo hazina issue nayawazia marindraaaa yanguuuuu.
Raha tunasikia woteUwiii acha tu,,ila tuhongeni tu bana mnatuto.... mno akiii
Pole sanaNajuta kuhonga moyo wangu kwa mtu asie juwa thamani ya kupendwa.
Asante sana hakika kupenda kubaya.Pole sana
Wewe mama kweli unajua kuwakamata madogo! Hakuna mwanamke atakayeweza kusema kuwa Rinda lilishatatuliwa! Ukiona hivyo ni utani tu. Tuliowatatua humu wanajifanya wana bikra zote mbili tunawathare tuNilihongwa TV ya chogo nimpe marinda, nikiangalia siku Hizi TV za chogo hazina issue nayawazia marindraaaa yanguuuuu.
Sio kubaya.kubaya kumpenda asiejua thamani ya penzi.Asante sana hakika kupenda kubaya.
Dah hilo nalo nenoSio kubaya.kubaya kumpenda asiejua thamani ya penzi.