Kitu gani kikubwa ulichowahi kuhonga au kuhongwa ambacho hutakisahau maishani mwako?

Takoooo
 
Yaan wewe kuna mwanaume humu kanikamata mpaka namsalimia shikamoo mme wangu ,,acha tu
Nawapenda sana watu kama nyie maana nikitoka huko kwenye mihangaiko ya kutafuta mkate wa siku nikiwa na stress zangu nikifungua JF basi huwa zinayeyuka kama nta kwenye jua. Safi sana.Mama Sabrina.
 
Nawapenda sana watu kama nyie maana nikitoka huko kwenye mihangaiko ya kutafuta mkate wa siku nikiwa na stress zangu nikifungua JF basi huwa zinayeyuka kama nta kwenye jua. Safi sana.Mama Sabrina.
Sawaa karibu
 
Duuh!!hongera yake uyo .hakukuroga alikufikisha kunako.
 
Nilihongwa TV ya chogo nimpe marinda, nikiangalia siku Hizi TV za chogo hazina issue nayawazia marindraaaa yanguuuuu.
Wewe mama kweli unajua kuwakamata madogo! Hakuna mwanamke atakayeweza kusema kuwa Rinda lilishatatuliwa! Ukiona hivyo ni utani tu. Tuliowatatua humu wanajifanya wana bikra zote mbili tunawathare tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…