Kitu gani kikubwa ulichowahi kuhonga au kuhongwa ambacho hutakisahau maishani mwako?

Kitu gani kikubwa ulichowahi kuhonga au kuhongwa ambacho hutakisahau maishani mwako?

Kipindi nasoma shule uboizini(shule kapuni)
Kuna mwl mmoja alikuwa anapenda Sanaa vijana
Nikawa Na date naye duuh Yule madam alikuwa ananihonga hadi mitihan ananiletea
Ilikuwa mitihan ikikaribia nilikuwa sisomi coz nilikuwa napewa
Kubwa zaidi ambalo amenihonga mpaka Leo sitosahau ni kunipa possible ya Necta 6!
Ilinifanya niwe top japo nilihongwa
Now daz kazeeka!
Sema honga yake ilifanya nionekane mtu katika WATU
Eb nipe namba zake
 
Nilihonga heren za gold siku ya bday yake. Mpaka siku mtu anamwona kazivaa akamwamwuliza umenunua wapi, akamwambia nilipewa zawad. Yule mtu akamwambia kama ni mpenz wako mheshimu sana. Leo hii hata sijui aliko
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Duuuu niliendaga bank nikachukua laki nane zilikuwaaga noti za tsh miatano miatano. Duuuu ziliniuma sana
 
Kishule shule mchizi wangu alipewa aniletee Biscuits za Eat some more,Saa ,body spray,na elfu 25 .

Ila nahisi jamaa alipiga cha juu hapo
 
Back
Top Bottom