😃😃😃😃😃😃😃Niliwahi kwenda ghetto la mwana fulani nikakuta anapikia bunsen burner! Nilipigwa butwaa kucheki pembeni kitandani ametandika shuka la msd.
Cc: Al-mukheef | Joanah | Mshangazi dot com | Intelligent businessman | mshamba_hachekwi | Half american | Mallerina | makutopora | To yeye | cocastic | Numbisa | Tajiri Sinabay | Thecoder | Davidmmarista | Cassnzoba | mzabzab | Atoto | Madame B | Evelyn Salt | Eli Cohen | Mwachiluwi | Kapeace | new gal | Qashy Lilith | realMamy | Midekoo | min -me
Mi niliingia kwenye gheto la mwamba nikakuta anachoma mahindi kwa kutumia mshumaa
duh! Hii kali [emoji1787][emoji1787]Kwa dada mmoja rafiki yangu huko kibera kenya ana nyumba ya udongo ila ndani ni pa kali kinouma ana mpka chumba maalum cha kufanya sauna na meditation.
Nilishangaa mno ila ndani chumba kimenakshiwa mno.duh! Hii kali [emoji1787][emoji1787]
Sauna ndani ya nyumba ya udongo sema unyama sana.
Hii sio chai kiongozi? 😂😂haha umenikumbusha story ya bibi mmoja mwanza anaitwa bi Fisi alikuwa bonge la witch alikuwa na kijumba kiduku cha udongo ila ndani ukiingia mazee ni bonge la mansion kuna jaccuzi, full ac, na mazaga kibao.
yan ndio nilichojiuliza anawezaje kuishi nanstoo chini ya uvungu? ukichungulia huoni mwisho jinsi kumeshonaduh! Garage ya chumbani hio!
Kuna mda mambo yanavuruga mpaka unajisahau hata kupanga ndani, sema na mamdogo alitakiwa azingatie kupangapanga humo ndani na usafi wa mara kwa mara.
Eeh ndo alikuwa anapikajeNiliwahi kwenda ghetto la mwana fulani nikakuta anapikia bunsen burner!
Kwani inauzwa sh ngapianaweka vile vimiguu vya chuma tripod anakalisha sufuria kwa juu anawasha bunsen burner
sebule mkataba hio noma 😳Mm nilienda nyumba Fulani ambayo kuna huduma wanauziaga Watu,siku hio ni Jumapili asubuhi nimeenda wakaona watanisubirisha Sana ,nikapelekwa ndani sebleni asee nyumba ni nzuri kilichonishangaza ni sebule jamani ni mkataba yaani ni kubwa kinooma
Na si zinatumia mtungi wa gesi ausijajua ila ile aliiba nadhani