ni upumbavu tukukaNi Sheria.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni upumbavu tukukaNi Sheria.
ukiendesha usiku ndo hupati ajali kirahisi?Wengi wanaendesha usiku
point kubwa hiiHii inaweza kuwa mazoea yaliyorithiwa kutoka tawala za awali au mifumo ya kikoloni.
Only in Africani upumbavu tukuka
Maana ipo wazi mkuu labda kama huja elewa, niulizeUnaona kuna maana yoyote kwa huu uafanuzi?
a.k.a ukimani 🐒Only in Africa
Alimtoa mwanae wa pekee afe kwaajili ya dhambi za binadamu akamuacha shetani ibilisi ( hapa nikitafakari huwa naona kama kamba vile)Kwanini Mungu hajamuua shetani?
Kwa maana hiyo tusipotenda dhambi yesu itakuwa alikufa kwa kazi bure maana wanasema alikufa ili sisi tuokolewe na dhambi.Alimtoa mwanae wa pekee afe kwaajili ya dhambi za binadamu akamuacha shetani ibilisi ( hapa nikitafakari huwa naona kama kamba vile)
Kwa hio Allah alimruhusu shetani aendelee kutesa hapa duniani kwa sababu mwisho wake ni motoni?Maana ipo wazi mkuu labda kama huja elewa, niulize
note : kutii ni moja ya adabu kwa mkubwa tena sana mfano wewe una mtuma mwanao ka ninulie kitu fulani kisha ana kujibu ushani tuma sana, sasa kama miguu unayo nenda mwenyewe na hapo ana kula nguvu yako, je uta mfanyaje ?, najua jibu unalo
Mambo ya dini wakati fulani ni kama danganya totoKwa maana hiyo tusipotenda dhambi yesu itakuwa alikufa kwa kazi bure maana wanasema alikufa ili sisi tuokolewe na dhambi.
Tuendelee kutenda dhambi ili kifo kusulubiwa kwake kuwe na maana
Kwahiyo binadamu ni collateral damage 💔 😢Alimuomba (ALLAH) amuache hai, aka kubaliwa kuwa afe mwisho wa Dunia, maana yeye hana pepo hata iweje, yake ni moto hivo ana jitahidi apate wa kumpa kampani huko Motoni
Ndio barabara nyingi zinakuwa na watumiaji wachache ukilinganisha na mchanaukiendesha usiku ndo hupati ajali kirahisi?
Hajamuua coz Shetani ni mhusika wa kufikirika.Kwanini Mungu hajamuua shetani?
Si kweli, ni hadithi za kufikirika.Ilikuwaje,mwanamke akawa kiumbe pekee kukutana na shetani?!!!
Watu wenye akili mingi si wazuri sana ktk uongozi, wao ni wazuri zaidi ktk field zao.Nchi kuongozwa na watu wengi wenye uwezo wa kawaida kichwani kwenye nafasi kubwa kubwa na nyeti Hiki kitu kinaniudhi sana ila sina jinsi