Kitu gani umejiuliza sana lakini hupati majibu?

Kitu gani umejiuliza sana lakini hupati majibu?

Eti masai hawafi? sijawahi ona wakizika
Screenshot_20241010_224057_Chrome.jpg
 
Naamini kuna vitu vidogo vidogo tunagundua kwenye maisha ambavyo vinatushangaza lakini inakuwa ngumu kupata majibu ya jinsi vilivyo....

Nimefungua hii thread kama njia ya kupata majibu.

Naona kama haitofaa kufungua uzi kwa kila swali kwasababu ni mawazo ya haraka haraka tu, sidhani kama yana uzito wa kuwa mada.

Wenye maswali yenu karibuni sasa tujadili...

Nitaanza mimi👇🏾
Kwann vijana wanapenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile pamoja na hatari iliyopo?
 
Kwa nini anga linaonekana giza wakati wa usiku hata kama kuna mabilioni ya nyota angani?
Anga linaonekana giza wakati wa usiku kutokana na mchanganyiko wa sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na:

1. Umbali wa nyota: Nyota ziko mbali sana na dunia yetu, na hivyo hazitoi mwangaza wa kutosha kuziba pengo la giza linalotokana na kutokuwepo kwa mwanga wa jua.

2. Uwepo wa wingu au vumbi angani: Wakati mwingine anga linaweza kuwa na wingu au vumbi ambalo linazuia mwanga wa nyota kufika ardhini.

3. Upotevu wa mwanga: Sehemu kubwa ya mwanga unaotokana na nyota unapotea kabla haujafika duniani kutokana na mambo kama vile diffraction, absorption, na scattering.

4. Kuangalia angani kutoka sehemu yenye mwanga mwingi: Mwanga unaotokana na taa za barabarani, taa za nyumba, na taa nyingine za mijini hupunguza uwezo wa macho yetu kuona nyota angani, na hivyo kufanya anga ionekane giza.

5. Mzunguko wa Dunia na mabadiliko ya mwanga: Wakati wa usiku, sehemu ya dunia inapoelekea mbali zaidi na jua, mwanga wake unaanza kupungua hatua kwa hatua, na hivyo kusababisha anga kuwa giza.

Hata kama kuna nyota nyingi angani, bado sababu hizi huweza kufanya anga ionekane giza wakati wa usiku.
 
Mimi huwa na jiuliza ni mimi tuu ninawaza hivi ama wote kwamba our life is matrix
1.unazaliwa
2.unasoma ama husomi
3.unatomba/ vice versa n.k ndoa
4..unakufa

Maana ya maisha ni nini ?

Kama Leo mimi na mjengo wangu( kasri) na Range nimezipata kwa shida unaniambia nitakufa shenzi kabisa

What is purpose of life?
Hayana maana, wewe ndo unayapa maana kwa kufanya mambo yaletayo furaha.

Kama una dini basi tekeleza kusudi la Mungu pia.
 
Rangi ya maroon kuitwa "rangi ya damu ya mzee" ni kutokana na usemi wa kawaida tu wa Kiswahili, lakini si kweli kwamba damu ya wazee ina rangi tofauti na damu ya vijana.

Damu ya kila mtu, bila kujali umri, ina rangi nyekundu inayotokana na uwepo wa hemoglobini.

Usemi huo huenda umetokana na mtazamo wa kitamaduni au maelezo ya kina yanayoeleza maroon kama rangi yenye kina, ukomavu au hali ya zamani, hivyo kuhusishwa na wazee.

Pia, maroon ni rangi ya giza zaidi ya nyekundu, na hii inaweza kuonekana kama ishara ya kitu kilichokomaa au kilicho na muda mrefu.
Mama angu Ana 68 amenipa ushuhuda kuwa kweli ukizeeka damu haiwi nyekundu kama ya vijana inauzito flani machoni anasema kwenye vile vipimo vya full blood Count unaziona kabisa damu za wazee hazina wekundu wa vijana😅
 
Kwann vijana wanapenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile pamoja na hatari iliyopo?
Ukiachana na ushawishi wa picha za ngono, mpaka neno fira limesanifishwa maana yake huo mchezo upo tokea kitambo ila umekatazwa.

Binadamu tunapenda kufanya vilivyokatazwa, kuna namna hofu ya kugundulika inasisimua.

Lakini pia kuna neva nyingi zipo kwenye sehemu ya haja wakubwa wanasayansi wanasema zinaleta hisia zikiguswa....
 
Kwa hio Allah alimruhusu shetani aendelee kutesa hapa duniani kwa sababu mwisho wake ni motoni?
Mkuu, Allah ktk viumbe alivyo umba hakuna kama binaadamu, malaika wali thibishiwa na ALLAH, na walikubali. Alicho fanya shetani ni kumuomba Allah ambakishe na uwezo wake na pia awe wa mwisho, ALLAH aka kubali ombi lake na ALLAH aka muahidi adhabu ilokuwa kubwa kupitiliza aka sema fresh, as long as umeniacha hadi mwisho wa Dunia, akasema huyo binaadamu ulie muumba Nitampoteza , akaambiwa Nita wapa silaha za kukuangamiza (kujikinga na wewe) ispokua kwa wasio Tumia,
note : alimchukia binaadamu Toka ana umbwa, amdharau nakumuona si kitu kiasi cha kuwashawishi wenzake na malaika wamkatae , pia aliwambia wenzake udhaifu wa binaadamu, kama sio Muslim innah rirah ila kama Muslim basi tusome na tuhudhurie darasa, ALLAH ndie mjuzi
 
Ukiachana na ushawishi wa picha za ngono, mpaka neno fira limesanifishwa maana yake huo mchezo upo tokea kitambo ila umekatazwa.

Binadamu tunapenda kufanya vilivyokatazwa, kuna namna hofu ya kugundulika inasisimua.

Lakini pia kuna neva nyingi zipo kwenye sehemu ya haja wakubwa wanasayansi wanasema zinaleta hisia zikiguswa....
Mwaga experience queer
 
Sababu ya kijinga sana hii.
Sababu ya kijinga?, unaijua sababu ya kijinga wewe?, sababu yake ndio kitu kibaya ki kiingia ktk familia ina pagalanyika kama punje za mahindi, tena mtu yupo radhi hadi ku ua, ila sifungii code, baki hvo hvo na uelewa wako
 
Kuweka picha ya raisi kwenye kuta za ofisi, iwe sekta ya binafsi au ya serikali, si sheria rasmi katika nchi nyingi, bali ni zaidi ya desturi au mazoea. Mazoea haya yamejengeka kutokana na sababu kadhaa:

1. Ishara ya heshima na utii: Picha ya raisi inawakilisha mamlaka ya juu zaidi ya nchi, na kuweka picha yake ni njia ya kuonyesha heshima kwa nafasi hiyo ya uongozi. Ni ishara ya utii kwa mamlaka ya serikali na uwakilishi wa utawala wa nchi.

2. Utambulisho wa uongozi wa kitaifa: Ofisi nyingi zinataka kuonyesha wazi ni nani anayeongoza nchi kwa wakati huo. Kwa kuweka picha ya raisi, inakumbusha wafanyakazi na wageni kuwa wako katika taasisi inayofanya kazi chini ya utawala wa rais huyo.

3. Urithi wa utamaduni: Kwa nchi nyingi, imekuwa sehemu ya urithi wa utamaduni wa kisiasa kuweka picha ya rais katika maeneo ya kazi kama ishara ya utawala wa kitaifa. Hii inaweza kuwa mazoea yaliyorithiwa kutoka tawala za awali au mifumo ya kikoloni.

Kwa hiyo, ingawa si sheria, kuweka picha ya rais ni desturi inayokubalika kwa kawaida katika ofisi nyingi.
Kwenye ofisi za serikali ni sheria
 
Mimi huwa na jiuliza ni mimi tuu ninawaza hivi ama wote kwamba our life is matrix
1.unazaliwa
2.unasoma ama husomi
3.unatomba/ vice versa n.k ndoa
4..unakufa

Maana ya maisha ni nini ?

Kama Leo mimi na mjengo wangu( kasri) na Range nimezipata kwa shida unaniambia nitakufa shenzi kabisa

What is purpose of life?
Kusudi la Mungu kutuleta duniani tupendane sisi(ujamaa)na sio kupenda vitu.Vitu tuvitumie viwe baraka kwetu na kwa wengine kwa upendo.Sio tuwatumie watu kupata vitu.(unyonyaji).Falsafa ya kuzaliwa uchi ni kukumbusha hukuja na kitu duniani na hutaondoka na kitu utakapokufa utarudi kama ulivyozaliwa.1)TUPENDANE SISI KWA SISI BINADAMU WOTE.
2)Tumpende Mungu wetu aliyetuumba na kutuleta duniani.
Kesho siyo ya kwetu kesho yetu anayo Mungu.Baada ya kufa kuna maisha yanaendelea Roho zetu zitavuna kile tulichopanda hapa duniani,jinsi tunavyoishi maisha yetu hapa duniani siku ya mwisho tutatolea hesabu matendo yetu yote.Tuishi kwa kupendana tuwekeze katika kupendana na sio katika vitu.Dunia/ulimwengu na vyote viujazavyo ulimwengu ni mali ya Mungu.Hatujui kesho yetu.
 
Back
Top Bottom