covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Ukijua tekinolojia na ukaenda nayo sawa ni raha sana..Nime synchronize nayo kabisa sitaki mchezo..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukijua tekinolojia na ukaenda nayo sawa ni raha sana..Nime synchronize nayo kabisa sitaki mchezo..
KweliUkijua tekinolojia na ukaenda nayo sawa ni raha sana..
Jombaa hii ni chat gtp??1. Mwenendo wa matumizi: Wahindi wengi wanaomiliki pikipiki kubwa hutumia kwa safari za binafsi au burudani, na kwa kawaida si mara nyingi wanazotumia kwa shughuli za kibiashara kama vile madereva wa boda boda.
Hii inamaanisha wanazotumia mara chache na katika mazingira yaliyodhibitiwa, hivyo kupunguza uwezekano wa ajali.
2. Aina ya pikipiki: Pikipiki kubwa zinazomilikiwa na baadhi ya Wahindi zina teknolojia na mifumo ya usalama ya hali ya juu, kama breki za kisasa, vifaa vya kulinda mwili, na ubora wa juu. Kwa upande mwingine, boda boda mara nyingi hutumia pikipiki ndogo, ambazo si lazima ziwe na vifaa bora vya usalama.
3. Kiwango cha uangalifu: Wahindi wengi wanapokuwa barabarani mara nyingi hutumia tahadhari kubwa na huchukulia usafiri wa pikipiki kama njia ya anasa au urahisi binafsi. Kwa upande mwingine, madereva wa boda boda, kwa sababu ya kulazimika kuendesha haraka na kushindana kupata wateja, mara nyingi hujihatarisha zaidi kwa kuvunja sheria za barabarani, kupita katikati ya magari, au kuendesha kwa kasi zaidi.
4. Shinikizo la kibiashara: Madereva wa boda boda wanakabiliwa na shinikizo la kufanya pesa haraka, ambalo linaweza kuwafanya waendeshe kwa mwendo wa hatari, wakijaribu kupata wateja wengi zaidi kwa muda mfupi. Hii huongeza nafasi ya kupata ajali.
Kwa hivyo, tofauti kubwa ipo kwenye matumizi ya pikipiki, aina ya pikipiki, na kiwango cha tahadhari barabarani. Wahindi wanaweza kuwa na udhibiti bora wa mazingira yao ya kuendesha, hivyo kupunguza hatari za ajali.
Na ndio mantiki nzima iliyo nyuma ya Imani.. Kuamini visivyo onekana kana kwamba vipoMambo ya dini, yanahitaji uwe na imani ya kitu kisichorahisi kuaminiwa.
Naam muhimu unaifanya iwe vile utakavyo wewe na maisha yako hayatokuwa kawaida tena.Jombaa hii ni chat gtp??
ddddNaamini kuna vitu vidogo vidogo tunagundua kwenye maisha ambavyo vinatushangaza lakini inakuwa ngumu kupata majibu ya jinsi vilivyo....
Nimefungua hii thread kama njia ya kupata majibu.
Naona kama haitofaa kufungua uzi kwa kila swali kwasababu ni mawazo ya haraka haraka tu, sidhani kama yana uzito wa kuwa mada.
Wenye maswali yenu karibuni sasa tujadili...
Nitaanza mimi👇🏾
Kuna aina nyingi za adhabu, ila kuua sidhani kama ndio best, ile ya kuchomwa milele nazani ndio tamu zaidi😃🤣Kwanini Mungu hajamuua shetani?
Hata ofisini uwezi muona boss bila kukutana na msaidizi wake..Ilikuwaje,mwanamke akawa kiumbe pekee kukutana na shetani?!!!
Ni Sinza kweli.Sinza 🙌🏽
😳😳😳3. Kiwango cha uangalifu: Wahindi wengi wanapokuwa barabarani mara nyingi hutumia tahadh
😂🤣🤣 tuanze na wewe,...ungepanda?Kwenye uzinduzi wa ndege zilitotengenezwa hapa Tanzania, mbona mama Samia hakupanda kama uzinduzi wa ndege zingine au kama alivyozindua treni ya umeme?
Right, bt wanaobahatika kulijua hilo ni wachache.Usikubali kuishi bila logic, utajazwa ujinga mwingi kichwani.
Mfumo ulioko ndo ule mfumo ambao ulimfanya Sir Ferguson aondoke. Kjna haja ya kufanya reform a mfumk mzima wa uendeshaji na ndo maana watu walitamani sana iuzwe kabisa kwa mtu mpya.Kwa nini Manchester United haijabadilika tangu Ferguson aondoke
Sio wote.Kwanini wanawake wakiwa vijana wanaitwa Malaya na wakizeeka wanaitwaWachawi?
Hazisafiri umbali mrefu kama mabus na magari mengine.Kwanini hiace(haisi zinajaza sana watu) ila ni nadra kusikia zimepata ajali
Izi story zinachekeshaga😅😅Alimuomba (ALLAH) amuache hai, aka kubaliwa kuwa afe mwisho wa Dunia, maana yeye hana pepo hata iweje, yake ni moto hivo ana jitahidi apate wa kumpa kampani huko Motoni